Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions
STANSLAUS NYONGO ATAKA MAJADILIANO YA TIJA DIRA 2050 NAIBU Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Stanslaus Haroon Nyongo amekumbusha umuhimu wa majadiliano ya pamoja badala ya...
0 Reactions
0 Replies
95 Views
DC KILAKALA AKABIDHI MILIONI 699.4 MIKOPO YA ASILIMIA 10 Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Mussa Kilakala, amesisitiza juu ya matumizi sahihi ya mikopo ya asilimia 10 inayotolewa kwa vikundi vya...
1 Reactions
3 Replies
177 Views
Marathon Hub in Tanzania: Connecting Runners, Organizers, and Communities As marathon running continues to gain popularity globally, Tanzania has become a prime location for these athletic events...
1 Reactions
8 Replies
399 Views
With ISO 9001:2015 you are ahead of others
0 Reactions
9 Replies
256 Views
Wakuu mke wangu alikua muuza mitumba sasa ile biashara huwa wananunua yale mabando ya nguo na huwa linafungashwa mchanganyiko wa nguo tofauti Sasa kwa mara kadhaa kila alipokuwa akifungua ili...
2 Reactions
17 Replies
920 Views
Wakuu toka nizaliwe sijawahi fanya biashara yoyote na kwa sasa nina kama shilingi milion 2 Naomben wazo la biashara ili niweze kuiendeleza
1 Reactions
13 Replies
704 Views
Kwa wale ndugu zangu Wauzaji wa handbags na massimo(kama sijakosea kuiandika hiyo masimo) kwa bei ya jumla naomba kujuzwa bei za jumla handbags medium size pamoja na massimo Pia naomba kufahamu...
1 Reactions
4 Replies
251 Views
Baada ya serikali kuanza utaratibu wa kuhakikisha mifumo yake inasomana kuna utaratibu mzuri unaohakikisha kuwa ukishasajiri kampuni ile namba yako ya usajiri ndiyo namba hiyohiyo kwa ajili ya...
3 Reactions
3 Replies
294 Views
Marekani ni Taifa lenye dhuluma ya Kibiashara tangu enzi za Biashara ya utumwa, haikuishia hapo bado linaendeleza dhuluma hiyo kwa TikTok Hili Taifa la Marekani linanuka laana ya dhuluma...
1 Reactions
8 Replies
236 Views
Kutoka CRDB kwenda NMB maana Kijiji nilichopo hamna Benki Wala wakala wa CRDB kwahiyo gharama ya kutoa pesa ni mara mbili.Lazima utume kwenye laini ya simu wakate Kisha utoe kwenye simu wakate...
4 Reactions
12 Replies
449 Views
KAMA UKO DAR AU ARUSHA UNAUHITAJI WA NYUMBA AU APARTMENT YA KUPANGA AU KUNUNUA TUPIGIE 0772959929
0 Reactions
0 Replies
176 Views
Wakuu, mara ya mwisho nimefuatilia kuhusu kupata fremu kariakoo, lakini tofauti na kulipa kodi ya pango.kuna mchongo wa kulipa kilemba kww aliekuwepo katika fremu Tuelemishane kwa wanaoelewa...
2 Reactions
14 Replies
3K Views
Wakuu, mimi nina mtaji wa 4 millions (Million nne). Kwa sasa nipo Mwanza lakini nilikua na mpango wa kwenda Dar kuanza kujitafta rasmi kwaajiri ya maisha yangu, na nina lengo la kufanya biashara...
5 Reactions
61 Replies
8K Views
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Selemani Jafo (Mb) amesema kuwa wananchi 595 waliofanyiwa uhakiki wa mali katika eneo la mradi wa Engaruka (Monduli) wanalipwa jumla ya shilingi bilioni...
0 Reactions
0 Replies
126 Views
Moja kwa moja twende kwenye mada Kama unamalemgo yakufua biashara ya duka hii jumla achana na haya maduka ya mtaania ya Mangi nazungumzia biashara ya jumla mfano pipi, Tambi, Unga...
21 Reactions
257 Replies
73K Views
Yaaani Unatoa 3M, Unaletewa 10k × 365 = 3,650,000 Faida kwa mwaka = 650,000 Faida kwa mwezi = 54,000. Faida kwa siku = 1,800, 😂😂😂 Wagonjwa wa akili ni wengi.. Issue sio aina ya biashara tuu, japo...
6 Reactions
41 Replies
1K Views
UTT n mfuko wa hisa ✅Unatoa riba ya 12% kwa mwaka ✅kutoa pesa inachukua siku 3 ✅Unaweza chukua pesa zako muda wowote ✅Riba yake haibadiliki kama mifuko mingine ✅Haina makato ya kila mwezi kama...
9 Reactions
119 Replies
5K Views
Habari njema kwa wote! 🎉 Tunawaletea Pocket WiFi Portable yenye kasi ya 4G, inayokuwezesha kufurahia internet popote ulipo! 🔥 👉 Bei ya WiFi: Sh. 50,000 tu! 👉 Ukisajili, unapata GB 20 BURE kwa...
0 Reactions
0 Replies
253 Views
Habari za asubuhi wana jamii forum. Nataka kufanya biashara ya kuuza vitabu vya shule kwa ngazi zote. Kuanzia nursery mpaka secondary ila sijajua sehemu ya kuvipata kwa jumla na pia mtaji wake...
0 Reactions
19 Replies
5K Views
Back
Top Bottom