Habari wana JF,mi ni mwana JF mpya,nawapa salam ndugu zangu,
naomba mnipokee kwa mikono miwili,naamini nitanufaika na kujifunza mengi mapya ktk nyanja zote za maisha.
Ahsanten sana,
Hi All,
Ndugu zangu wana JF nachukua nafasi hii kujitambulisha na kuomba kukaribishwa katika mawazo na mijadala ya hapa na pale yaani kijamii, kisiasa n.k. Natanguliza shukuran zangu za dhati...
Hello JF members,
I am a new member, I believe this forum has people who critical thinkers, hoping to learn alot from you guys. lets use the forum constructively for the benefit of all.
Thanks
Heshima mbele !
Naomba kuchukua fursa hii kuomba kuungana nanyi wanajamii ili kuelemishana na kuchangia hoja mbalimbali zinazolenga jamii inayonizunguka na Tanzania kwa ujumla.
Natanguliza...
Habari zenu mliomo.
Mimi ni mgeni hapa na nategemea kupata ushirikiano toka kwenu nami nitashiriki niwezavyo mada zitakazonigusa kwa maendeleo ya wote.
Na leo ninahitaji mchango wenu kwa mada...
kwa kweli lazima niombe radi kwenu. kwa maana nilipoingia tu, sikuwa makini kupekua kila kona ya jamvi na kuona adabu za ukaaji wake. lakini kwa kuwa wenyeji ni waungwana na ma-intelligent...
Naja naja kwa adabu
kwenye jukwaa la adabu
wengi wenu wa adabu
thamani kama dhahabu
natarajia mafunzo
na mapambano kwa wingi
tujenge taifa letu
Tanzania itadumu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.