Ninayofuraha kukaribia kwenye forum hii ya jamii....naamini mungu ataniongoza kujifunza kutoka kwenu wanajamii na pia kuwezakutoa mchango wangu
rgds,
hunduka daraa
wanajamii mpoooooooo!!!!!!!
Mimi ni mwanajamii mpya kabisa, yaani brand new. Sichachakachuliwa na itikadi yoyote wala siasa zozote au dhehebu wala nchi yoyoye zaidi ya shule ya darasani. naomba...
Hi! Salam zangu kwa wote mliofungua post hii...kwanza pili nikupiga hodi ukumbini hapa kulikonivutia sana sana....naomba ushirikiano wenu wakubwa...ni mimi wenu nilham....:a s 103::a s 103:
Hello guys!
I am a new member in this forum and i would like to just greet you.
i have decided to join this forum so that i can contribute something.
Have a nice day people!
Hello wanaJF! mambo zenu? Anyway hatimae niko in ze house.
Nitapenda kushirikiana na ninyi ktk topic mbalimbali pale panapobidi kufanya hivyo!
Ahsanteni!
Nice to join you here.
Work hard, have a great and enjoyable day.
Avoid false excuses like this one
Father: Why are your exam marks so low?
SON: Because I sit at the desk at the back, Dad.
Father...
Hodi hodi wenyeji, wanfamilia wa JF..
Najitambulisha kwenu, mimi mgeni mpya wa familia hii kubwa. kijana wa kiume nnayejulikana kwa jina la mwesiga.
Nashukuru sana kwa kunipokea
Nawaheshimu niliowakuta kwenye bodi hii nimeambiwa nifanye hivyo! Nisiowakuta hata sijui!!?? Mnipokee hivyo hivyo, nilikua outside member, sasa ndani ya nyumba
Nimefuatilia jamii forum kwa kipindi cha miezi mitatu na nimevutiwa sana jinsi watu wanavyo wakilisha mada na kuzichanganua. Pia napenda ukweli na uwazi ulivyotawala humu jamvini. Ukichemsha...
Ni furaha kuwepo pamoja nanyi ndani ya hili jamvi tukufu.
Ni matumaini tangu tutashirikiana na kusameheana kwani sisi wanadamu asili yetu ni kukosea na kuwa wahitaji siku zote.
Asanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.