Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
mambo vp jaman wanajamii?me mgen wenu nafurah kujiunga pamoja nanyi ktk jamii forum!
0 Reactions
2 Replies
792 Views
Nawasalimu katika JINA lipitalo majina yote!! Kwa heshima na taadhima... nasema Inshallah tuwe pamoja katika kuendesha gurudumu hili la JF.
0 Reactions
2 Replies
858 Views
Salaam wazalendo wenzangu, nilikuwa nawachungulia tokea zamani leo nimeamua rasmi kuingia ndani najua kwa utamaduni wa kitanzania mtanikaribisha ukizingatia nimechagua siku ya baraza jipya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kikamavu naingia, salam wafamilia, mengi ninayo semea, ya chombo hiki murua, Nyingi pongezi pokea, Kwa yote mliyofikia, sasa mefika wasaa, naomba yenu ridhaa
0 Reactions
12 Replies
1K Views
:target:Watanzania tuwacheni kasumba wakujifanya sisi ni wakamilifu tuache tabia hiyo:target: kosoa panapotokea kosa usikosoe kabla ya kutendeka kosa:A S clock: hakuna alozaliwa kuwa anajuwa na...
0 Reactions
3 Replies
894 Views
I don't care if the thread am starting had been there before. I didn't see it and so do the other new comers. If you move it and never leave any tracks for me to find it, you are not fair. I...
0 Reactions
6 Replies
940 Views
I was lookin' 4 somethg here thats y i'm late..Let me join with you guys..I hope we gonna share somethg 2gether...Thanx
0 Reactions
19 Replies
2K Views
hi.
Hodi, wana jamii naomba kujiunga nanyi katika kuchangia hoja. Nawasilisha.
0 Reactions
4 Replies
827 Views
naomba wana jf mnipokee mwenzenu
0 Reactions
6 Replies
920 Views
sijui nianze kwa shikamoo!lakini hacha tu ngoja niingie.sasa nizame na viatu au niache mlangoni?
0 Reactions
1 Replies
886 Views
Mimi ni mgeni JF!!Naikubali sana JF sababu ya vichwa makini!!Ni zaidi ya great thinkers!!Critical thinkers!!!Wanaangalia mambo kwa namna ya ajabu!!navutiwa sana na hili jamvi sbb sipishani sana na...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Hi
Jamani mawaziri we2 mmewakubali
0 Reactions
2 Replies
770 Views
Hodi hodi wana JF naingia kwenye familia...Great Thinkers Oyeee
0 Reactions
7 Replies
963 Views
Napenda kuchukua fursa hii kujitambulisha rasmi jamvini. Ni matumaini yangu mtanipokea kwa mioyo mikunjufu.Asanteni sana.
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Je, Ni CCM Ipi Hasa Iliochakachua Uchaguzi Wetu Mkuu 2010??? Wan-JF, malalamiko yako kila kona ya nchi yetu kuhusu uchakachuaji wa uchaguzi kwa njia ya aibu sana usoni mwa ulimwengu, laki...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hallow every one, Hi great thinkers. Glad to join you brave people.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Thanks for inviting me to Jamii forum
0 Reactions
2 Replies
855 Views
Habari wana JF! naomba nafasi jamvini na mimi niweze kutoa mchango wangu wa nguvu ya hoja. Nipokeeni.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
wadau mupoooo.hongereni kwa kuwa wa kweli kwa maslahi ya taifa hili kwa lengo la kulikomboa kutoka kwenye umaskini
0 Reactions
2 Replies
722 Views
kwanza asanteni sana kwa kunihabarisha tangu uchaguzi ulipoanza. sikujua upo upande gani. sasa najiunga rasmi na kutamka kuwa nina back up pipooz powaaa
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom