Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Hi......this is martina.I am twenty two years old girl. I am a student of B.A final. =============================== Injury Claim
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wan-JF, malalamiko yako kila kona ya nchi yetu kuhusu uchakachuaji wa uchaguzi kwa njia ya aibu sana usoni mwa ulimwengu, laki mchakachuaji bado, ambaye mpaka sasa anadaiwa kuwa ni CCM, hatujaweza...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Heshima kwenu wanajf. Nimeamua niungane nanyi katika jukwaa hili, ili pamoja na kujifunza kutoka kwenu, nami nipate fursa ya kushiriki kikamilifu katika mijadala inayoendeshwa ndani ya jf...
0 Reactions
2 Replies
806 Views
Habari ndugu zangu NImekuwa ninasoma 'threads' zinazoandikwa na jinsi ambavyo watu wako makini katika kujadili mada muhimu zenye mustakbari wa Tanzania na jamii kwa ujumla. Binafsi nimevutiwa...
0 Reactions
2 Replies
994 Views
Heshima kwenu nyote wana JF "Where we Dare Talk Openly," ni mgeni jamvini kwa maana ya kupost lakini ni mwenyeji kwa maana ya kusoma na kufuatilia mijadala mbalimbali. Jamvi hili ni muhimu...
0 Reactions
4 Replies
939 Views
Hellow...... Jamani mimi ni MwanaIFM, nimejiunga na kile chuo pale mjini! YES katikati ya mji na naweza kusema chuo kilichopo mjini kuliko vyote na nimevutiwa na majadiliano ya humu jamvini...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
helloo everyone,,,,i am in!!!
0 Reactions
2 Replies
883 Views
Jamani marafiki naomba kujiunga nanyi hapa JF. Naitwa Salehe, nimejisajili hapa JF kama Mr.shs. Ni mwalimu wa sekondari natumai tuna mengi ya kushirikiana! Asanteni
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mambo vipi! Nina furaha kupita maelezo :target: Naomba mnikaribishe jamani katika hii timu ya "GREAT THINKERS". THANKS
0 Reactions
8 Replies
1K Views
wana JF,leo hii natangaza rasmi mbele yenu kwamba kwa moyo wangu wote nimeamua kurudisha kadi ya jamvi lile la sura ya kitabu najiunga nanyi great thinkers nijifunze mengi kutoka kwenu,nikue...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
ningependa kuwapongeza wabunge wa CHADEMA kwa uzalendo walioonyesha katika kutetea haki na usawa katika nchi hii . najua kutakuwa na maneno mengi ya kuwakatisha tamaa but keep on doing right...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Eid Mubarak wanajamii!Mimi ni mgeni katika jukwaa lenu hili,ila nimelifatilia kwa muda mrefu sana kwa kusoma fikra zenu,dira na maoni mbalimbali hivyo nami nijiunge ili nami nitoe yaliyomo katika...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Hi
Better die standing than live on your knees
0 Reactions
0 Replies
874 Views
hello greatthinkers! can i come in!
0 Reactions
3 Replies
959 Views
Please anyone to guide me before i loose my path.
0 Reactions
4 Replies
967 Views
Najiona kama ni mtu niliyekumbuka shuka wakati ni asb.kumekucha. Ni Mr TANO ATHANAS NCHASI. Kutoka Dodoma St. JOHN'S UNIVERSITY. Nawaomba wanaharakati tujuane jamani ili na mimi niwe active...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ni tumaini langu kuwa mko vizuri ndugu zangu wana jf, mimi ni mgeni katika ukumbi huu na hivi leo ninaomba baraka zenu wazee na watangulizi wangu ili tushiriki kwa pamoja katika kudadavua na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wajameni mi ndo napiga hodi naombeni mnifungulie, nikaribisheni, sebuleni,nipeni maji ya baridi coz kuna mambo kibao, nahitaji kushare nanyi. asanteni.
0 Reactions
1 Replies
832 Views
HELLO GREAT THINKERS, CAN I PLEASE COME IN?:target::target::target::target:
0 Reactions
4 Replies
793 Views
Hi!
at last i am on board! i expect to share and enjoy a lot in areas of local politics, education financial matters in particular, law and much more. asante!
0 Reactions
4 Replies
769 Views
Back
Top Bottom