Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Nimefurahi kujiunga na familia hii japo nimechelewa,kwa mda mfupi niliokuwa member nimegundua kuwa this is the right place.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Naomba mnipokee jamvini.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Samahanini wana jamii, nimepost bila kuji introduce, mimi naitwa Mr. Pascal ni mtaalam wa masuala ya TECHNOHAMA. Nimekula kwanza ndio nanawa mikono ili niendelee kula, samahanini sana.
0 Reactions
1 Replies
675 Views
Paaaaaaaap hadi kwa Wapendwa JF, allow me to be with u but not with JK, nilikuwa na wamasai nikiwa safarini Loliondo, nikawauliza vp uchaguzi mtampa nani kura bila kuchelewa wakatema mate chini...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
JF nabisha hodi kwenu. Asante
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hodi hodi wana JF ma'great thinkers' a.k.a wana CHADEMA kama wengi mnavyopenda kujiita. Nikaribisheni ili nipate muongozo wa mambo ya kijamii na changamoto zake. Nategemea sana mchango wenu wadau...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wanajamii Nimependa sana mijadala na uwanja huu wa jamii forum... hodi hodi waungwana
0 Reactions
6 Replies
1K Views
wadau kwanza naomba kujitambusha kwenu kwani mimi ni member mpya. Pili nachukua fursa hii kuwapongez wote mliotumia muda na akili zenu kUfuatilia na kuchangia kwa maono ya fikra chanya kuhusu...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Naishukuru jamii forum na wanajamii wote kwa mchango wao wa mawazo na kupashana habari kwa ajili ya ujenzi na maendeleo ya nchi yetu .
0 Reactions
2 Replies
952 Views
Naitwa Monica ndo najiunga leo na Jamii forums, natumaini mtanipokea vizuri.
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Kwa muda mrefu nimekuwa mtumiaji wa blog mbalimbali na sikuwahi kuwaza kuwa mwanachama popote. Rafiki yangu mmoja aliponiambia kama nataka mawazo mbadala na yenye tija (kwa kuwa ni anafahamu kuwa...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Am new here and i love u all.I like the forum so much. Hodiiii!:A S-baby:
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Hodi wana JF, nimekuja kwenye jamii japo nimechelewa lakini naamini sio sana. JF kweli inajenga na kurekebisha nashangaa kwanini nimechelewa kujiunga na hii jamii. Naomba wana jamii mnipokee ili...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani nimetua sasa hivi kutoka nchi za mbali, nilikuwa sijawahi kutembelea hapa hadi jana nilipoambiwa habari za hapa kwenu! Nilifurahi sana nilipoelekezwa kwenye mjengo huu wa great thinkers...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mi. Ni mgeni kujiunga ila nimeathirika zaidi kwa kuisoma JF mara kwa mara mkoo juu mazee hata cjui nlikuwa wapi siku zote na kinachonisukuma zaidi ni hii dhuluma ambayo sijawahi kuwaza kama...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hodi waheshimiwa! Nipokeeni mwenzenu tuburudishane.
0 Reactions
2 Replies
607 Views
Nafurahi sana kuwa mwanajamii,nimekuwa msomaji wa mada za humu ndani kwa kipindi chote cha uchaguzi na sasa nimeona ni vema nijiunge ili nami nichangie,naomba mnipokee.
0 Reactions
4 Replies
941 Views
Hallo all I am glad to introduce myself as a new JF member. regards
0 Reactions
3 Replies
811 Views
Jina langu ni Esta. Nimevutiwa na forum hii kwa kuwa na majadiliano na mijadala ya kila aina. Natumai nitajifunza mengi. Nina issue inanisumbua sana. Nayo ni kuhusu uchafu uliokithiri katika...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Jamani hii nikutaka kujitambulisha kwamba mm ni new member. Asanteni kwa kunielewa
0 Reactions
3 Replies
961 Views
Back
Top Bottom