Mi nimfataliaji mzuri wa vipindi vya michezo kwa vituo vya redio hapa nyumbani, mara nyingi huwa nafatlia Sports Arena ya Wasafi Fm, Sports Hq ya Efm na mara moja moja kipindi cha michezo cha RFA...
Part 1
Mvua inanyesha aridhi nayo chapachapa dongo jekundu natoka kwenda kusaka, mguu mosi mguu pili mpaka kunako shamba naanza kuchimbua ili kupanda zangu karanga,
Namaliza kipande pekee baba...
7 years ago today, Adele released ‘Send My Love (To Your New Lover).’
The third single off ‘25’ became a Top 10 hit on both the United Kingdom Singles Chart and Billboard Hot 100, peaking at #5...
2 years ago today, Olivia Rodrigo released ‘Good 4 U.’
The third single off her Grammy-winning debut album ‘Sour’ debuted at #1 on the Billboard Hot 100. It topped charts globally and is...
Najua hapo zamani lugha zilikuwa zinapiga chenga na hata wanaotafisir nao saa nyingine wanaongeza chumvi kwa lugha kupiga chenga, hapa kuna subtitles kabisa zenye tafsiri sahihi.
Kila siku...
USIFE HARAKA MPENZI WANGU
HANA haraka anapotembea, ukimtazama anaonekana kujiamini sana. Tabasamu mwanana linaupamba uso wake, lakini mavazi yake yanaonesha asivyo mtu wa dhiki! Hata kama siyo...
UTANGULIZI
Berlin, Ujerumani
SONJA VERBRUGGE HAKUWA anafahamu kwamba leo ingelikuwa ni siku yake ya mwisho kuishi duniani. Alikuwa anatembea kwa taabu kuwapita watalii waliokuwa wamefurika kwenye...
20 years ago today, Beyoncé released her debut solo single ‘Crazy In Love’ featuring Jay-Z.
The Grammy-winning classic reached #1 on the Billboard Hot 100 and remained atop for 8 weeks. It was...
Simulizi hii ilitolewa humu ndani kwa sababu nilisema kwamba nataka kuitolea kitabu hivyo nikaisitisha lakini watu wakaomba thread ifutwe hivyo mods wakaitoa.
Kuna watu ambao wamenicheki pm na...
Hello wana JF,
Nawaletea baadhi ya movies/series ambazo si za kutazama na watoto 🔞 yaani ni movie ambazo hazifai kutazama hata na wazazi wako, zingine haifai kutazama hata na wana 🤣🤣🤣msije...
Mimi Ni mpenzi mkubwa Sana WA muvi za mapenzi..zipo nyingi nzuri..but ninazo zipenda Sana Ni The Notebook,a walk to remember,dear John..40 and the first date..just go with it.shrek...
Nimeandaa uzi huu hususani kukumbushana juu ya asili yetu wanadamu. Maana mbali na uwepo wetu hapa duniani lazima kuna UKUU/UFALME ambao ndio unatuongoza ktk maisha yetu ya kila siku kwa misingi...
Mgaga wa kienyeji aliishi kanisani, alitumika kanisani.
Akajificha humo.
Sijui ni kitu gani alikuwa anakifikiria.
Sijui kwanini aliamua kutokukaa kwenye makazi yake kama mganga.
Na kwanini...
Nimejiridhisha na kwa mafanikio hizi ndo nyimbo Tani Kali zaidi za amapiano kuwahi kutengenezwa Tanzania
1. Single Again - Harmonize
2. Mama Amina - Mario
3. Ticha- Harmonize
4. Shetani -...
Binadamu tunatofautiana sense of humour meaning kitu kinaweza kuwa funny Kwa mtu mmoja kikawa cha kawaida kwa mwingine.
Lakini mawazo yawengi huwa mara nyingi yanakaribia ukweli.
Kwangu Mimi best...
Kendrick Lamar yupo wapi? Lilikuwa swali la muda mrefu kwa wapenda Hip Hop Duniani kote!
Wengine labda walichoshwa na rap hizi za kina Lil Pump, Tekashi69.
Baada ya kimya kirefu, Kendrick Lamar...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.