Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Wana JF Umofia kwenu usiku wangu wa kuamkia tarehe hii 22/02/2019, Nimeutumia hapa Last Minute Lounge iliyopo sinza mori mbele ya La Chaaz njia ya kuelekea Wanyama Hotel. Hakika ni usiku mzuri na...
4 Reactions
74 Replies
14K Views
Tazama hii show wimbo wa now we are free wa hans zimmer ukipigwa live, kila kifaa kinapigwa unakiona na kukifeel, kuanzia violin, marimba, na takataka zote. Huu mziki si wakiwango cha dunia hii
5 Reactions
14 Replies
2K Views
Njaa imezidi kubana kiasi kwamba watu wanachungulia fursa popote. Yaani hakuna kuacha hata kazi ya Buku. Sisi wasanii wadogo tunaponea wapi?
0 Reactions
4 Replies
921 Views
Kondeboy Weeeeeeeee Chorus Huo ni ushambaa huo ni wee huo ni ushambaa huo ni wee Huo ni ushambaa huo ni eeeeh huo ni ushambaa Verse pesa ya kulipa gesti unayo eeeh nyumbani familia inapiga...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Wakuu habari, ile mixtape ya antivirus vol 1 & 2 ya vinega na sugu nitaipata wapi?? kama unayo njoo PM plz
1 Reactions
10 Replies
5K Views
Today marks the 25th anniversary of Mariah Carey classic hit 'Always Be My Baby' Artist: Mariah Carey Title: Always Be My Baby Album: Daydream Genre: R&B Label: Columbia Records Year: 1996 Oh...
1 Reactions
0 Replies
373 Views
Habari wakuu, Naomba kujua ni wapi ntapata old disc za wasanii hawa George Michael and WHAM, Babatunde Olatunje kwa Dar es Salaam. Ahsanteni
0 Reactions
0 Replies
585 Views
Habari wana JF Leo ningependa ku share na nyie hivi unadhani kwanini bongo movie zetu bado tunasitasita japo kuna watu wenye uwezo mkubwa wa kufanya mambo .. Embu chek hii clip alafu...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari za muda huu wana JF. Kifupi, ningependa tujadiliane kuhusu utafauti kati ya watu hawa wawili, Famous na Superstar! Ninavyofahamu, FAMOUS ni mtu maarufu, haijalishi umaarufu wake umetokana...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hili pindi la mangoma ya kisauzi kila J2 Wasafi FM kwangu ni balaa sana, kiufupi wasauzi wanamabiti mazito na ya maana sana ila sijui why ngoma zao hazivumi. Ukiangalia hata biti za wimbo wa...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Riwaya: MUME GAIDI Mwandishi: ATUGANILE MWAKALILE Imeletwa kwenu na: BURE SERIES SEHEMU YA 1 Ilikuwa ni kipindi cha mvua za masika, na siku hiyo mvua ilikuwa inanyesha. Kijana Patrick alikuwa...
4 Reactions
156 Replies
25K Views
Mimi huwa napenda old school (miziki ya kale)80's,90's na early 2000. Kutokana na uchache wa muda nyimbo hizo kuchezwa redioni,napenda kwenda YouTube kusikilizana ikibidi ku download. Weekend...
5 Reactions
17 Replies
2K Views
Hello JF, Mwana dada gani humu has got a gwan??:p:p:cool:;)🤣
4 Reactions
33 Replies
4K Views
Kusema kweli hawa jamaa wa Tamaduni Music nawaelewa sana, uandishi wao, beat wanazotembea nazo na content/maudhui wanayoimba huwa nabarikiwa sana. Na hivi Niko zangu geto nasikiliza ENZI ZA UTOTO...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Haiuzwi Ukiwa under 18 mda usije ukamponza mtoto/ Kama una dozi kunywa hata soda ndogo/ Mdogomdogo sio kreti libaki empty/ Utajikuta bwana mdogo ume lost imebaki chenji/ Ukaleta tu madrama na...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Mate Kuna tabia baadhi ya watu waume kwa wanawake wamekua wakisema kwamba wao kwao kupendwa au kupend sio kitu cha muhimu hapa duniani, wengine hufika mbali zaidi na kusema kwamba nilizaliwa peke...
6 Reactions
34 Replies
3K Views
Leo hatimaye Isindigo the need imeisha rasmi ITV japokuwa South iliisha muda baada ya kuonyeshwa kwa miaka 21 mfululizo. Wengine tumekua nayo toka watoto mpaka now watu wazima tuna watoto pia...
17 Reactions
71 Replies
8K Views
Yanga katuroga Nan? Haiwezekan uongozi na Benchi la ufundi wanashindwa kuelewa Mapungufu yako wap Kwa jinsi wachezaji wanavyo cheza wa yanga ni dhahir kabisa team haiko Sawa mfano mechi ya Leo...
2 Reactions
24 Replies
2K Views
Habari wakuu, Leo naomba tuelezane diss track ambayo unaikubali kutoka kwa wasanii wetu wa Tanzania kutoka katika aina yoyote ya mziki kuanzia bongo fleva, taarabu, zouk, hip hop, dansi, singeli...
12 Reactions
168 Replies
32K Views
Back
Top Bottom