Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Naomba msaada mtu anitumie nyimbo au album nzima ya taarab moja ya zamani (Majina ya nyimbo, album na muimbaji Simjui). Baadhi ya nyimbo kwa ufupi zilikuwa zinaimba hv: 1. Bado nakuona ndama...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Wakuu Habari zenu, Baada ya kuona hizi chart za muziki katika hivi station nikashangaa sana nikao Sio mbaya na mimi nikashare hiki yaani kumbe kila redio ina top 20 au top 10 za nyimbo zake...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Una ninyima viazi unakula mwenyewe na huna maji unakula unakufa
1 Reactions
2 Replies
931 Views
Straight to the point: Its unquestionable Fact Bongo movies wanazingua kote especially upande wa movie za action! Pamoja na kuzingua huko zipo baadhi zenye afadhali atleast! Kuna vijana wanajiita...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kundi kongwe la sanaa ya uigizaji na ngoma lililotoa vipaji vingi vya uigizaji hapa nchini, Kundi la Sanaa la Kaole "Kaole Sanaa Group" limerudi ila sasa kwa jina lingine..habari kamili ametueleza...
0 Reactions
26 Replies
8K Views
Baada ya kimya cha muda mrefu OCG anamtafuta Dee... "Wapi Dee"
0 Reactions
0 Replies
874 Views
New Video: Morgan Heritage x Jamaica Ft. Diamond Platnumz & Stonebwoy – Africa - SYLI CLASSIC MUSIC
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Wote walikuwa kundi moja ya one direction sasa kila mtu anafanya mziki peke yake. Kati ya harry styles na zain malik nani anajua zaidi au wewe unampenda nani zaidi? Upande wangu mimi naona harry...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Audio: Morgan Heritage x Jamaica Ft. Diamond Platnumz & Stonebwoy – Africa - SYLI CLASSIC MUSIC
0 Reactions
1 Replies
17K Views
" Yooh nipo kanda maalumu/ Nakula Hapi kama Ali Salum/ Mjomba magu ameziba mirija/ Ndo maana siku hizi mademu tunawakopa kama Hadija / Weka verse yako mkuu halafu mwisho wa siku tutengeneze...
2 Reactions
36 Replies
4K Views
Wakati tukijiandaa kushuhudia nyasi za uwanja wa taifa maarufu siku hizi kama kwa mchina zikipata tabu sana leo hii, nimeona ni bora nikasema machache kuhusiana na uwanja wa mpira wa kumbukumbu ya...
2 Reactions
8 Replies
6K Views
Leo hii mesikia Mzee Yusufu abadili mwelekeo na kuanza kuimba qaswida! mejiuliza maswali mengii mfano? 1. Nini kimfanyacho mtu awapo na nguvu na ufahari asiwe mcha mola kiivo? 2. Katika jamii ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hii ni riwaya mpya ambayo itakuwa inawajia hapa kila ifikapo saa tatu usiku. Inaitwa MWALIMU WA ZAMU mwandishi wake ni JOHN WISSE SEHEMU YA KWANZA Usingizi unamruka. Anaamka na kuketi...
4 Reactions
2 Replies
3K Views
Ni riwaya gani ya A.E MUSIBA ambayo ilizuiliwa kabala hata ya kuchapishwa na imetoka hivi majuzi kupitia kampuni ya Orion Nairobi Press? Mimi mdau wa vitabu sana. Atakayejibu kwa usahihi na wa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Hamjambo? Kuna hii taarab/wimbo fulani ambapo kuna kipande kinaimba " Nampenda mmoja, nae anajua..... roho zenu mbaya " au mwenye nao anaweza kuutuma hapa, au kunipa link asanteni
1 Reactions
27 Replies
3K Views
Madame Ritha na Salama nashauri mpumzike msalie kuwa advisers na au producers. Hebu Madame Ritha watafute hao wawili uwajumuishe kwenye timu yako. Aidha, nashauri uongeze channel nyingine ya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Come and trek new song soon to be released Ikiandaliwa na bwanga B bways REC Mdundo wa umbwa
1 Reactions
0 Replies
649 Views
Unampa asilimia ngap mchoraj[emoji23][emoji23][emoji23]
0 Reactions
1 Replies
708 Views
Habari za muda huu wakuu, kama kichwa kinavyojieleza wadau naomba mwenye nyimbo ya Vitalis Maembe sumu ya teja.
1 Reactions
5 Replies
6K Views
Back
Top Bottom