Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Hakuna msanii anaweza kuwashinda hawa jamaa kwa michano na free style ni wakali sana hata kwa kuwasikiliza huwezi kujutia bahat yao mbaya watanzania hatuupi mziki wa hip hop kiapaumbele one mzee...
3 Reactions
23 Replies
6K Views
Wakuu! Kuna ile staili ya wachina wanashevu nywele mbele then nywele za nyuma wanazisuka zinakua kama nywele moja! Basi naomba tu share movie yoyote ile ambayo wameweka nywele kwa style hiyo.. Hua...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Kuna wimbo wa 20% sijalijua jina lake bado, Ila anaanza kuimba maneno Haya "Nimeajiriwa Kwenye ajira niliyojiajiri, Na nasifiwa utendaji wangu wa kazi ni mzuri ..." Kisha churus yake anaimba...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Aliyeandaa tamasha la Werrason Mwanza ala za uso ‘sileti tena msanii Mwanza’ Weekend hii mkoani Mwanza muandaaji wa Tamasta la Werrason amekula za uso baada ya mashabiki kuingia mitini katika...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Haya kwa wale matomaso chekini hii BEFORE and AFTER.
0 Reactions
2 Replies
899 Views
Vanessa Mdee na Barnaba wakitumbuiza jukwaani. Vanessa na Jux wakiperform Mtwara. Ni rasmi kuwa wasanii wa Tanzania, Vanessa Mdee na Juma Jux wanakua mfano wa kuigwa katika safari ya...
1 Reactions
1 Replies
4K Views
Mimi si shabiki wa skendo zako ila ni shabiki mkubwa wa mziki mzuri kitu ambacho umefanya kwenye wimbo huu congratulations kwa kweli!. Bonge la trap, hakika umeitendea haki beat umebadilika na...
3 Reactions
39 Replies
7K Views
1.Malela,malela malela...maalela malela wangu namtafutax2 Mara ya kwanza nilisikia upo Kigoma...maalela malela wangu namtafuta alinikimbia mara ya mwisho tulionana mara baada ya kuishiwa
2 Reactions
27 Replies
7K Views
Ghafla nimezikumbuka nyimbo za jeshini, enzi zileee "safari ya mamaa naiombea baraka, safari ya mamaa naiombea baraka, nilimwambia mama, kwa heri nakwenda, kulijenga taifa langu la leo, hiyooo...
3 Reactions
71 Replies
23K Views
Habari ndugu zangu' Naomba msaada wa anayefahamu kuhusu soko la bongo movie kwa nchi za kenya na Rwanda, nina Movie na pia na mpango wa kutengeneza nyingi sana hivyo ningependa kujua soko likoje...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Miezi kadhaa tokea ameachia hii nyimbo nimekuwa nikiiskiliza mara kwa mara bila kuchoka, kitu nlichokigundua Huyu kijana ana Talent ya kipekee, na hii nyimbo ni nzuri sana Nyimbo hii...
1 Reactions
5 Replies
5K Views
Unakuta most of american Hollywood movies unakuta kuna sex action zimewekwa yaani watu wakifanya ngono hadharani mbele ya kamera Na hali wakijua wanaonekana Na wazazi wao Na Ndugu. Nafikiri hii...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Hivi karibuni Katibu mtendaji wa Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) Bwn. Mngereza alitoa kauli na onyo kwa wasanii wa kizazi kipya kuwa waangalifu na kufuata sheria za nchi bila kukiuka maadili ya...
0 Reactions
1 Replies
846 Views
Audio Mpya ya Kwake LAVA LAVA, Wimbo Unaitwa "NIMEKUCHAGUA" DOWNLOAD HAPA AUDIO : Lava Lava - Nimekuchagua | DOWNLOAD Mp3 SONG - MTIKISO ENTERTAINMENT
0 Reactions
0 Replies
14K Views
  • Poll Poll
Unachanga Karata Tu! Hehe! Kichwa Kichafu Mwifwa mumu @demis karibuni Tuchange Karata.
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Makubwa Ya Kombe La Dunia: Mlinzi Aliyewafungulia Wafungwa Gerezani Hispania! Ndugu zangu, FAINALI Za KOMBE LA DUNIA ina maana ya msimu wa kuamka kwa hisia za utaifa. Na hakika kandanda ina...
8 Reactions
25 Replies
15K Views
RIWAYA: SIKUJUA UNGENISALITI MPENZI (1) MTUNZI: JOSEPH SHALUWA SIMU: 0762 458590 EMAIL: joeshaluwa@gmail.com FACEBOOK: Joseph Shaluwa INSTAGRAM: josephshaluwa ***** HALI ya hewa ilikuwa ya...
3 Reactions
39 Replies
7K Views
Habari za siku nyingi wadau kwakweli maisha yalikua magumu sana bila Jf Nimpongeze melo na jopo lake kwa kuirudisha hewani Lkn kama kawaida kufa ni kufaana Baada ya jf kufungiwa Kuna baadhi ya...
4 Reactions
26 Replies
2K Views
Hapa hakuna maneno mengi. Weka trailer ya movie au series yoyote. Mimi naanza na hizi.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
SCRIPT ZA IMA. MTUNZI:MSANII JOTO LA MOTO. SEHEMU YA KWANZA. NYUMBANI KWA MKWERE CHUMBANI-ASUBUHI. Mkwere, kijana, 30, yupo kitandani amelala, pembeni kwenye kochi wapo Erin,mtoto, binti wa...
1 Reactions
41 Replies
7K Views
Back
Top Bottom