Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Kwa wale wenzangu na mimi wapenda muzik, jaribu kutune 94.1 dira fm, ujilie uvipendavyo mkumbuke siipigii promo.
0 Reactions
4 Replies
4K Views
The Odyssey ni episode film iliyotoka mwaka 1997; inayogusa maisha ya kifalme na safari ya mashujaa walioondoka nyumbani kwenda vitani. Wakiwa vitani walipambana kwa juhudi na akili na...
0 Reactions
0 Replies
675 Views
Kuna nyuzi nimesoma ya mbunge huko kenya, aliyewahi igiza kama rukia, basi nikakumbuka mchezo huu uliopendwa sana kipindi hicho. Uhaba wa Television uliwalazimu wengi kuangalia kwa majirani, kwa...
5 Reactions
40 Replies
13K Views
waungwana habari za siku tele, Ninaomba mwenye link ya download za family matters comedy, desmond, perfect strangers na wengine naomba, mimi ni mpenzi wa comedy. Siku njema.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jana nikiwa naangalia kipindi cha Friday night Live niliwaona young killer na Young D mmoja akionyesha ukomavu na utu uzima huku mwingine akiendelea kuishi kwenye ulimwengu uliopita. Nitakuwa...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Wanawake wazuri wazuri wameolewa yamebaki madung'a iembe yanahangaika....... Ni track ya zamani sana kibongo flava.. Naomba kwa yeyote mwenye nayo aipandishe hapa Asanten sana
1 Reactions
5 Replies
996 Views
Habari zenu! Kama kichwa cha habari kisemavyo, endapo msanii Diamond Platnums asingekuwapo basi bongo flava kimataifa isingevuka boda. Mpaka sasa kimataifa ni yeye ndio amekuwa kama nembo ya bongo...
8 Reactions
54 Replies
9K Views
Wakuu naomba kuuliza swali la fasta, nimesikia wimbo flani ukiimbwa kwa sauti ya aslay...KWELI NAWATONGOZAGAAA, WANANIKUBALIAGAA........... Naomba kujua ni wimbo gani huu tafadhali?
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Huyu ndio msanii wangu bora wa kike kwa sasa,ana sauti nzuri,melody inanoga, na producer wake anatoa audio njema kabisa.Pambana dada muziki wako mtamu.
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Believe me
1 Reactions
4 Replies
826 Views
Hunijali kwa chumvi (hunijali kwa sukari taabu nyingi ninapata na watotoooo). Napata shida na watoto Hunijali kwa mavazi hunijali kwa chochote aaaa aaa napata shida Unataka kuoa mke wapili ni...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hata sana
0 Reactions
0 Replies
574 Views
  • Poll Poll
Weka kura yako hapo juu na matokeo yanaonekana live: Hatua 1.Chagua ngoma unayoikubali 2. "Cast your Vote" kuweka kura yako
2 Reactions
118 Replies
16K Views
Diamond Platnumz, Rayvanny, Harmonize,Mbosso, Lavalava, Queen Darleen, R.mavoko Wamepasua au Wamezingua?.
18 Reactions
761 Replies
86K Views
Zamani kidogo kipaji cha kurap ulikuwa ni uhuni ila kadri muda unavyoenda dhana hii inatokomea, Vijana wanafanya mambo mazito na vipaji vyao ogopa mtu wa elimu yake sisemi wasio na elimu wanafanya...
2 Reactions
7 Replies
3K Views
Sijaelewa kinachoendelea kwa fuvu la binadamu kukutwa uwanja wa taifa wakati nyasi za bandia zikitolewa na kuwekewa nyasi asili Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wanahiphop maarufu nchini Tanzania, Roma na Stamina wanaounda kundi la ROSTAM. Ikiwa na maana ROma na STAMina, mapema leo waliuLIzwa na Perfect crispin kupitia 255 ya XXL inayorushwa na kituo cha...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
mambo vipi wakuu embu leo kwenye huu uzi tujuzane kidogo kuhusu hili shindano mwaka huu lipo?? na je kwa tanzania wameshaanza usahili? na ni vigezo vipi unatakiwa uwe navyo ili uweze kufanya...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Msanii Selementally ambaye ameachia kazi yake mpya inayoitwa 'Nataka kununua Dar' aliyomshirikisha msanii Belle 9, amesema anakusudia kulinunua jiji la Dar es Salaam ili arekebisha baadhi ya vitu...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Karibu mwana- JF mwenzangu, Leo nimekuletea nyimbo zinazokufanya usiwe na mawazo ,
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Back
Top Bottom