Mke wangu alianza tabia ya kuimba moyo sukuma damu... kila tukiwa na argument. Nikipiga simu yake inaimba same melody hadi ikanikera... Nikakumbuka kitabu cha walukaga the blacksmith pale...
NICE GUY OF CENTURY
SEHEMU YA 01
Ni katika supermarket moja alionekana Baba akiwa mke wake pamoja na mtoto wao mdogo wa mwisho katika uzao wao,mke alikuwa alilalamika kuwa hela hawana...
Habari za jumapili wakuu
Naomba tupeane album tamu za riddim wengine wanaita sweet reggae
kwangu mimi hizi hapa naziskza mara kwa mara
1/ Collie Buddz
2/Country bus riddim
Tupieni nyingine basi...
WIMBO: YESU WEWE
Na Ev Mhugo Hantish (The sound of worship)
Autro
Mmmmh! X2
PREACHES
"Ndugu yangu, jiulize wewe mwenzangu bila Yesu ungekuwa wapi leo hii. Bila shaka hujui, hata mimi sijui"...
Nimeona ni vyema tukakumbuka zile ngoma za miaka ile ya 2005 kushuka chini mpaka 1990s kwa kushare mambo haya ya kitambo.
Tafadhari dondoshea vibao ulivyo navyo vya miaka hiyo makundi mbalimbali...
WIMBO: YESU WEWE
Na Ev Mhugo Hantish (The sound of worship)
Autro
Mmmmh! X2
PREACHES
"Ndugu yangu, jiulize wewe mwenzangu bila Yesu ungekuwa wapi leo hii. Bila shaka hujui, hata mimi sijui"...
1) Hivi global TV na bongomikasa TV ni za nani?
2)Hivi faida (profits) za kuendesha TV kwenye mtandao iko je?????
3)Nikitaka kufungua yangu taratibu ziko vipi??????
4)Nitafurahi nikipata namba za...
" Kutokana na kuwepo Kwa malalamiko mbalimbali Kwa wasanii Wa muziki na filamu nchini juu ya kuibiwa Kwa kazi zao.je wanauelewa juu ya sheria ya hakimiliki?"
Nimekuwa nikivutiwa sana na uimbaji wa hawa jamaa kwny huu wimbo na video yake ambayo sichoki kuitazama.mwenye lyrics za huu wimbo aweke hapa tafadhal maana nmetafuta sana ktk source nyingi bila...
kma wewe unapenda mziki wa richmavoko karibu tujumuike pamoja kwenye group ambayo ipo kwa ajili yakusapport mziki wa richmavoko pia utawez kupata updates exclussive kabisa make mavoko tupo nae...
Wakuu, hasa wale tunaopenda michezo ya kubeti almaarufu kuweka mikeka.
Kuna kampuni nyingi za kubet ila M-Bet ni pasua kichwa.
Kuna mkeka nimeshinda kihalali kabisa, ila system yao inasema...
Mbuzi wakipigana vibega wakati wakitimua mbio kutafuta mshindi wa shindano lililopewa jina la 'The Southen Sun Fillies Frolic' lililodhaminiwa na Hoteli ya Southen Sun, wakati wa mashindano ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.