Kwa simple observation yangu nimeona hiki chombo hakina nguvu kama Nay Wa Mitego alivowaimba. Kwa maana tumekuwa tukisikia wakitoa maonyo kwa wasanii kadhaa na wengine kuwafungia kabisa.
Msanii...
SEHEMU YA KUMI
THE GIRLS IN ISLAND 10
“nshukuru kama una uwezo wa kukumbuka kwa kiwango hicho. Hivi unafikiri mimi nipo kwenye hali gani toka uliponionjesha asali yako?... unafikiri moyo...
Chorus – Banana Zorro]
Sizonje hii ndio nyumba yetu
Milango ipo wanapita madirishani
Sizonje ndio nyumba yetu
Milango ipo wanapita madirishani
Ingia uyaone, maajabu ya nyumba yetu
Ingia uyaone...
habari wakuu....kuna nyimbo ya taratibu ya kiingereza yakitambo ivi....nimeisahau jina na mwimbaji pia ila naijua baazi ya matukio katika video ya huo wimbo.iko ivi.....
mwimbaji ni mwanaume na...
1. Mikono salama- hii imeigizwa na Irene uwoya,jokate,jb ,Adam kuambiana na wengine wengi, hii movie ni noma sana.
2.kigodoro- hii imeigizwa na wasanii kibao, kama riyama,hemedy,diana,mama...
SEHEMU YA KUMI NA MOJA
THE GIRLS IN ISLAND 12
Wakati tupo ufukweni nikimsubiria Shenaiza afanye maajabu yake ili tuondoke pale, nyuma yetu tulisikia mtu akipiga makofi. Tulipogeuka nyuma...
Udaku News
Picha za mapokezi za Mshindi wa Tuzo ya AMVCA2016 kipengele cha Movie bora ya Afrika Mashariki elizabeth michael ‘Lulu’ wakati akiwasili kwenye Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Dar es...
THE GIRLS IN ISLAND-11
“kuhusu swala la kutoroka na kuwaacha wenzangu huku ni swala gumu sana Shenaiza.” Niliongea huku nikiwaonea huruma wale marafiki zangu tuliowaacha.
“acha mawazo hasi...
Masaa machache yaliopita Wasanii nguli wa kenya maarufu kwa jina la Sautsol Wametoa Filamu yao mpya waliomshirikisha msanii nguli wa Tanzania Alikiba #kingkiba . . .
Filamu hiyo iliyoachiwa...
SEHEMU YA TISA
THE GIRLS IN ISLAND 09
Alipomaliza kuoga, alitoka na kunichekea baada tu ya kuniona.
“wewe ni mwanaume wa shoka.” Aliongea malikia na kunilalia kifuani.
“sasa naweza...
Nilimsikia Ruge akihojiwa na Salama kwenye mkasi, akasema kuna kituo kimija cha redio hakipigi nyimbo za msanii fulani kwa miaka miwili sasa!!
Baadae nikaanza kusikia minong'ono mitaani na...
SEHEMU YA NANE
THE GIRLS IN ISLAND 08
Baada ya hapo nikapelekwa jela ambapo nilibaki nimeduwaa baada ya kuona jela kubwa kama hiyo iliyokuwa na watu zaidi ya milioni mbili kwa hesabu za haraka...
kama umesha-download au unayo UTORRENT (software inayokuwezesha kudownload movies,games na n.k) tumia site hii ambayo utaweza kudownload movie zako kupitia UTORRENT. ni site nzuri sana hiyo apo...
Nimeipenda sana hii tamthiliya ya Siri ya Mtungi.
Kwanza ina reflect uhalisia kuanzia jina la tamthiliya, uigizaji, mazingira, lugha mpaka majina ya characters. Majina kama vile Cheche, Mtungi...
Enzi zile, miongo miwili mitatu ilopita, tulikuwa na Radio moja tu; RTD ilokuwa na Idhaa ya Biashara, Idhaa ya Taifa na External Serive (kimombo). Ilikuwa rahisi sana kujua miziki ilovuma maana...
Ni moja ya ngoma ambayo mpaka leo inaishi wakati imetoka miaka kama kumi iv imepita....ukiisikiza haiishi utamu daah apa fa aliumiza kichwa pembeni na komando jide...
Namisi sana aina ya miziki...
Kuna kiwanja kimoja pale jirani na Mlimani city cha kuitwa KATALUNYA!!
ni nani founder wake!? nataka kumpa pongezi tu kwa ubunifu na ukisasa kiasi chake kwa biashara hii ya vileo kulinganisha na...
Zangu hizi hapa. 1.24hour. 2.The seeker. 3.Robin hood. 4.Smillvile. hizi series unaweza kuangalia na familia. muv.1 Avatar. 2.Blood Diamond. nipe za kwako...
SEHEMU YA SABA
THE GIRLS IN ISLAND 07
“BAINA NA KELI”
Ilisikika sauti kutoka nje ya lile bwawa. Nikashangaa kuona wale wasichana wakiniachilia haraka na kusimama kikakamavu. Nilipotupa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.