Mmmmm mmmm
I get wings to fly
oh, oh, i'm alive
Yeah
when you call on me
when i hear you breathe
I get wings to fly
I fell that i'm alive
When you look at me
I can touch the sky
I know that i'm...
Wale tuliosoma zamani tuliimba sana huu wimbo;
Alaama za Chama Cha Mapinduzi, Jembe na Nyundo! Jembe ni kwa Wakulima na Nyundo ni kwa Wafanyakazi....
Ni tofauti na sasa watoto wetu...
Wakuu,
mimi ni mpenzi sana wa aina za tamthilia tajwa hapo juu,,sababu hasa ni kuwa zinahusu historia za zamani za legends,heroes na events zilizotokea karne nyingi zilizopita,,,hivyo hata...
Seven Days and One Week " is a
song by Italian-French trance music
act B.B.E. . It was released in July
1996 as the lead single from their
debut album, Games. As a
representative of the...
Leo nimewaludisha nyuma katika historia ya muziki uko marekani na kukutana na kundi la s.w.v (sister with voice) kundi hili liliotetemesha kipindi iko lilikuwa likiundwa na wadada watatu,coco...
Hbaba jukwaa moja na jb mpiana hii shoo angekuaa kijana wetu wa bonde la tandale jukwaa moja na nguli kama huyu kwa upande wa mziki wake jukaa lingekoma
Ndg
naomba mwenye nyimbo ya Nachechemea iliyoimwa na Hussein Jumbe pia na nyimbo ya huruma kwa wagonjwa ya DDC mliman park anisaidie au anielekeze namana ya kuzipata.
Natanguliza shukran
msanii diamond aanika kilichokuwa chanzo cha bifu la yeye na BOB JUNIOR na namna chanzo hicho kilivyochangia kuharibu mahusiano yake na mrembo WEMA SEPETU click here/bofya hapa kwa full info.
habari senu jamani ninaomba nisaidiwe kama kuna mdau ana nyimbo hizi mbili anifanyie attacment please.............BABA JANE BYE BYE wa ALLY CHOKI na PAULINA wa ANDREW SEKEDIA pleaSE JAMANI...
Miraji Shakashia akikung'uta solo akiwa na Vijana Jazz mwaka 1993. Waimbaji hapa (kutoka kushoto) ni Jerry Nashon "Dudumizi", Mohamed Salum "Gotagota" na Abdallah Mgonahazeru. Pia yupo John...
Wadau wa muziki wa wa dansi. Kuna nyimbo nimezikumbuka za siku nyingi kama kuna anayeweza kuweka hapa jamvini itakuwa faraja iliyoje kwangu, maana sijui jinsi ya kuzipata ukizingatia siku hizi...
Habari wana Jamvi
kuna nyimbo flani ya zamani nakumbuka tu mistari yake inambwa hv "mama mdogo ananitess njoo unichukue haraka" ila kwa sasa imetoka katika version mpya nadhani wameirudia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.