Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Wadau naombeni msaada wa jina kamili la wimbo huu na aliyeuimba.Nimeona video yake hivi karibuni lakini sikubahatika kujua jina la wimbo. Wimbo una kiitikio "Soma,soma soma...wazuri bado wazaliwa e"
0 Reactions
1 Replies
1K Views
While there are some movies stand out more than others with their amazing plot, humor or actors, there are also some that give us their awesome endings! Well, if you want to watch some movies...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kuna movies ambazo bado hazijatoka ila zinatarajiwa kua kali na zitatoka mwaka huu huu 2013, nimekutana nazo nyingi tu zikipigiwa promo ila sio zote kiukweli zitakuja kubamba. Kwa wale wapenzi wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
From 'NSYNC's reunion to that fondling foam finger, we look back at ceremony's highlights, lowlights. On Sunday, Brooklyn's Barclays Center hosted a party the likes of which the brand-new arena...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Je wewe ni mwanamuziki? Mashindano ya mziki ya dunia ya vibao vipya yanayojulikana kama I Wanna Be Famous yanayoletwa kwenu na Perfect Internet yanaendelea. Mashindano haya yameanza mwezi July...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimeinasa BBC jioni hii kuwa Mzee wetu MUHDIN MAALIMU NGURUMO (umri Miaka 70+) amestaafu rasmi kazi ya Muziki wa Dansi baada ya kuwemo katika Tasnia hiyo kwa zaidi ya miongo mitano! Maoni yangu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Muda mfupi shindano la bba limemlizika na mrembo delish frm namibia ameibuka na ushindi tumejifunza nini kwa ujumla? Wasanii wamejiifunza nini?
0 Reactions
16 Replies
2K Views
=== = = = "Washiriki 28, kushiriki shindo hili la Big Brother Africa (The Chase), ikiwa ni msimu wa nane tangu kuanzishwa - huku kwa mwaka huu likijulikana kama The Chase. Washiriki...
3 Reactions
574 Replies
62K Views
Hivi jaman kuna live stream ya kuangalia ze komedi origino over the net? Nimewamiss sana hawa vijana, hua wananikuna sana.
0 Reactions
0 Replies
958 Views
Leo ni mwaka wa nane (8) tangu tangu Vivian na Complex watutoke. nawakumbuka sana , maisha yanaamana kubwa Mungu awapumzishe na awape raha ya milele.
0 Reactions
9 Replies
8K Views
Wana jamvi, naombeni msaada wenu wa jinsi ya kuupata wimbo wa taarabu wenye mashairi haya "Uliona ni mtaji kwa milupo ya kutupa ukalivamia jiji kutaka mambo kwa......... Hivyo unavyomuona yeye...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuuu habari zenu, ninashida na nyimbo ya Tshalla Muana insyoitwa Mesuna. Msaada please
0 Reactions
0 Replies
878 Views
1. Kim Kardashian & Kanye West (Bel Air) Kim Kardashian and Kanye West bought this $11 million Spanish villa-style mansion near Los Angeles shortly after news broke of Kardashian's pregnancy...
1 Reactions
19 Replies
10K Views
je kuna relationship gani kati ya majina ya movies hizi " dark" na ulimwengu ulivyo, je kipi kilichokusudiwa? Najua jf imejaa peoples with great minds na amini some one will explain kwa nini jina...
0 Reactions
0 Replies
918 Views
Kwa wale ajukuu zangu tu ambao wamo ndani ya Jukwaa hili la JF; Pamoja na mvi zangu hizi, huwa napenda pia kufuatilia affairs za wajukuu zangu. Huyu mtangazaji ni mzuri sana na kazi zake ni makini...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Nasikia uvaaji suti una masharti yake. Ni yepi hayo?
0 Reactions
26 Replies
5K Views
Weekend ndo imeanza,wapi sehemu imetulia niende??Nataka kwenda sikiliza hii nyimbo na kudance bhana! "Careless Whisper" I Feel So Unsure As i take your hand And lead you to the dance floor As the...
0 Reactions
0 Replies
508 Views
Mwimbaji mkongwe wa muziki tanzania ametangaza kustaafu na kuomba wananchi wamchangie chochote kwani hana hata baiskeli!Ikumbukwe huyu mzee amekua akitumiwa na ccm katika sherehe mbalimbali na...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Msanii Tundaman amejikuta akiambulia aibu ya mwaka baada ya kujitosa nusu uchi mtaani akiwakwepa askari polisi ambao walivamia kwake leo asubuhi kwa lengo la kumkamata.... Chanzo cha Tunda man...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu wanajamvi, napenda kuanzisha uzi wenye lengo la kupeana taarifa zinazohusu Tasnia ya filamu Tanzania. Tasnia ya filamu nchini Tanzania inaajiri watu wengi sana, wengi wao ni vijana, ambao...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom