Wakuu hizi epsode zinaonyeshwa sana Star Tv nimekuwa nikimsikia wife akifatilia bila me kuielewa mpk aliponisimulia nimevutiwa sana na namna ilivyoandaliwa kuhusu hawa mabinti wawili wa kimasikini...
Habarini ndugu zanguni, katika kujaribu kutafuta what is going on in my life, nimefanikiwa kuanzisha kundi jipya la muziki wa kizazi kipya. Muda huu kundi linajiandaa kurekodi...
wasanii woote wa bongo muda wa kufaidi matunda yenu ni sasa. sioni kama mkiendelea kulalamika kila siku ndo mtafanikiwa. huu siyo muda wakuendelea kulalamika zaidi ya kuungana na kuwa kitu kimoja...
Huyu jamaa yuoo wapi siku izi alinikoshaga sana na ile nyimbo yake ya pain in me..ni kitambo sana sijamsikia sijui yuko wapi sasa iv na anafanya nini..
(News) Soma barua hii ya wazi
kutoka kwa mdau wa muziki
nchini "MAFISADI WA MUZIKI:
Walio wengi wamezoea kusikia
ufisidi katika siasi, viongozi
waliokua na
uuzo wa tabia na kujilimbikizia...
Hey Guys....Nairoberry, Livefire, Mwembetayari, and who is that other guy who got me locked up in one malicious ban--I can't even remember his name; anyway I am back: and ready for another big...
The serene town of Varkala buzzes with activity during the vacation season. A perfect beach escapade for leisure travelers, honeymooners and medical tourists, Varkala has much to bestow. Long...
ile cinema ya jide dhidi ya ruge na wajanja wenzie inaendela sasa kwa ruge kumjibu jide tegeni sikio kwenye redio cloudsfm sasa
Baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu,
hatimaye mmoja wa...
Katika pita pita yangu you tube nikakutana na movie moja ya ki nigeria siikumbuki jina vizuri ila nilishangaa sana kumuona richard wa big brother 2007 ndan ya movie hiyp iliyoambatana na waigizaj...
Natamani kupata audio clips za Vipindi vya Radio Tanzania ya zamani vikiitwa Pwagu na Pwaguzi jamani. kama kuna mtu alirekodi mikanda ya vipindi vile, pamoja na taarifa za matukio kutoka Dodoma...
Soma Barua hii ya wazi
kutoka kwa mdau wa
BONGO FLEVA.
Naitwa Mtanzania Halisi Machungu !
Ninao ujumbe mdogo kwa jamii ya
burudani hapa nchini,wiki iliyopita
Tuzo za muziki wa Tanzania...
Naombeni msaada wadau, kwa sasa natumia STAR TIMES,lakini kinanisumbua sana kwa kuganda ganda sana mpaka sioni hata raha ya kua nacho, Nilikua nataka labda nichukue ZUKU au DIGITEK au kama kuna...
story yake iko simple arafu movie nzima imeshutiwa kwenye jengo moja mwanzo mwisho, humo ndani sasa ni kichapo, yani brutal fighting scenes...stunts za kufa mtu, unaweza kuiangalia tena na...
​Nawasalim woote!!
Nadhani wadau wa Hip Hop toka kitambo watakua wanalikumbuka hili songi...skumbuki vizuri ilikua released mwaka gani lakini wakati inaanza kupenya maskion mwangu nadhani...
Kwa habari nilizo zisikia ni kua baraza la mitihani wanatakiwa kurekebisha mitihani ya kidato cha nne iliyofanyika mwaka jana na kutoa matokea mabaya,je mchakato huu utazingatia muda kweli,ili...
Hivi karibuni tumetoka kuskia na kuona habari na walaka ulio tolewa na msaani mwanadada Jayd kuhusiana na madudu na unyanyasaji unaofanywa na hiki kikundi cha watu wawili kilicho sajiliwa kisheria...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.