Wadau,napenda sana kuangalia filamu za bongo movies lkn nashindwa kuzipata full online hasa nikitumia youtube,msaada tafadhali juu ya website ambayo naweza kuipata full filamu ya moses ya kanumba...
Sekta ya filamu Tanzania kwa sasa inajulikana duniani licha ya matatizo yake,
licha ya mtayarishaji wa filamu wa Tanzania kuendelea kuishi maisha yasiyo
tofauti na mtu mwingine wa kawaida! Hali...
Am a big fan of Bruno mars na songs zake za ukweli from his first album- Doo-wops and Holigans hadi It will rain lakini album yake ya sasa which goese by the title Unorthodox jukebox truly...
Sasa kama wewe ni msanii au mtu uliye wekeza kwenye sanaa kuna njia bora na rahisi ya kuendesha sanaa yako kibiashara,
Fanani Network ni mtandao unaofanya kazi ya kuwapromoti wasanii wa maigizo...
WAKATI Mkutano mkuu wa shirikisho la Filamu TAFF ukiendelea hali imekuwa mbaya kwa katibu wa shirikisho hilo, Wilson Makubi, baada ya kutimliwa na mkutano huu kwa sababu za ubadhilifu wa fedha za...
Huyu jamaa SOSOLISO wa JF nilikuwa nafikiri kijana mdogo kumbe wa zamani?
Yaani hawa TRIO MADJESI wameshakuwa naye kwenye Stage miaka ya 70 mwanzoni?
Pichani, SOSOLISO wamebebana.
Video...
Tanzania Weekly Movie Schedule
Hansel & Gretel: Witch Hunters
Monsters, Inc 3D
A Good Day to Die Hard
Les Misérables
The Attacks of 26/11
I, Me aur Main
Zila Ghaziabad
Dabangg 2
KUPATA...
Habari ya mapumziko ya mwisho wa wiki!
Wakubwa kama kuna mtu mwenye interest kama mimi na Zilipendwa hasa za Afrika Kusini naomba msaada anisaidie wapi naweza kupata Album nzima ya Mwanamuziki wa...
Ukweli ni kwamba tasnia ya filamu ni sekta ambayo inazidi kukua na inaongoza kuwa chanzo cha ajira kwa vijana hapa nchini. Vijana wengi ambao awali walikuwa wahalifu sasa wameingia kwenye filamu...
Ndugu wana JF. Nikiwa kwenye hatua za mwisho kwenda Tanzania kwa wiki mbili na nusu, ningeomba kwa yeyote yule anisaidie kunijuza kumbi za bendi na miziki ya dansi na zilipendwa kwa jiji la Dar es...
::
Nimekuwa shabiki wa nyimbo za Zilipendwa na napenda sana kujua machache yahusuyo baadhi ya wanamuziki
::
Kuna miziki ya kale kama
Embe dodo
Itawezekanaje
Jabali
Kidege
Mtoto si nguo...
Wasanii wa bongo Movie badilikeni kwa kufanya
mazoezi ili muwe na afya njema.
Huyu jamaa kafanya la maana kama
kweli ni mazoezi ya mwaka mmoja tu,
kwa hivi..... mmmmmmhhhh!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.