"There are moments in our lives when we summon the courage to make choices that go against reason, against common sense and the wise counsel of people we trust. But we lean forward nonetheless...
Hii nji kwa sasa naona kuna makampuni yameamua kutuibia live bila chenga?nipo vichochoroni napata tusker mara mtu ananishtua kuwa tusker wana mashindano c nikajitosa kutuma namba jinsi maelekezo...
Hivi karibuni nimekuwa nikiona posts za baadhi ya watu hapa jamvini ambazo nia yao ni kuvuruga hoja na kuleta chuki. Nina imani kubwa kuwa wametumwa rasmi na wasiopenda maendeleo ya Watanzania ili...
IT'S BUSINESS: FROM KITALE-KENYA TO LOLIONDO-TANZANIA
While Tanzanians are at their usual "laid back" life style, Kenyans are capitalising on Babu herbal cure, or at least that's what Marc...
Kwa mujibu wa wavuti ya msn - jiji la Dar es salaam ni katika miji inayoongoza kwa uchafu duniani, hii imesababishwa zaidi na miundo-mbinu mbofu-mbofu! asilimia 70 ya wakazi wa Dar wanaishi kwenye...
Nimeshuhudia juzi usiku maeneo ya kigogo luhanga Dar es salaam nje ya hostel ya wasichana wa shule ya Loyola High majambazi wakiwaibia pesa watu amabao inaaminika walikuwa wakiwafuatilia muda...
Jana from no where nape kaenda eti udom kukagua majengo ya udom, nakusema eti serikali ya ccm inataka kuyakarabati cause yameanza kuwa na ufa, ukiangalia majengo hayo yamejengwa na hao hao ccm kwa...
Harold Camping, amegoma kuzungumzia mustakabali wa michango aliyokusanya ili kuwezesha radio yake anayomiliki, kutangaza habari za mwisho wa dunia ambao ulitakiwa kujiri siku ya Jumamosi...
Kuna matukio mengi ya kikatili yaliyotokea kwa akina mama kujaribu kuwaua watoto wao kwa njia mbalimbali lakini mama huyu wa nchini Marekani amefanya ukatili zaidi kwa kumuua kwa kumbanika kwenye...
Jamani ndugu zangu wanajf naombeni tuwe makini na tuache unafiki. Nape Nnauye amefika chuo kikuu cha Dodoma (Udom) majira ya saa 5 asubuhi. Hivi Nape alikuja kufanya nini Udom na alitumwa na nani...
Today morning i was at Tandika a place called Davis corner, as i was talking to the guy who was selling newspapers soon came a typical mswahili wearing a msuli and said "mi nakwambieje kubenea na...
0diggsdigg
VYOMBO vingi vya habari leo vimechapisha habari ya kustaafu kwa David Mattaka, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Ndege Tanzania(ATCL). Kiongozi huyo wa shirika hilo, aliitisha mkutano wa...
WANAFUNZI watano wa shule ya Sekondari Mbagala ya jijini Dar es Salaam wanashikiliwa na jeshi la polisi kwa kuwafanyia fujo wanafunzi wenzao wa shule ya Sekondari Nzasa kwa sababu za kimapenzi...
Last week nilimtumia mtu fedha kupitia m-pesa, salio likapunguzwa kwenye akaunti yangu na fedha kwenda kwa mlengwa. Cha ajabu niliyemtumia akaenda kwa wakala kutoa fedha anaambia hawezi kutoa...
Kama si kwa huruma ya JK leo SLAA angekuwa kizuizini.
CDM endeleen kuleta makelele ila nawaonya kuwa nchii hi ina jeshi la kumlinda rais na katiba.
Uchaguzi umeisha makelele ya nini...
Vijiji karibu vyote vinavyozunguka katika Bwawa la kuzalisha umeme la Mtera mkoani Iringa havina kabisa umeme.Vijiji hivyo vilivyopo kwenye Jimbo la Simani linaloongozwa na Ndugu William Lukuvi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.