Traffic mmoja akiwa na wenzake wameambulia kichapo baada ya askari mmoja kusimamisha basi na kuamuru abiria wote washuke huku akichukua funguo za gari na kuelekea sehemu wanazobana kwa kupeana...
Hii si tu kwa wachezaji weusi bali weusi kwa jumla
jamani mliokimbilia huko kwa watu si haba kila sehemu riziki
nasema hivi sio ku nadi ma dada zetu hapana nasema jamani
wazuri wapo afrika
kabla...
Salamu wanajamii
Naomba kujua mwenye details za maelezo ya TUCTA kama zilivyotolewa katika taarifa ya habari juzi na Channel Ten usiku. Nazitafuta lakini sijafanikiwa kuzipata. Nimedokezwa tu kuwa...
Wafanyakazi wamejenga hoja kadha wa kadha za kudai maslahi zaidi ambayo wanaamini kuwa zikiangaliwa kwa ukaribu, zina mantiki na kuwa serikali ina uwezo wa kuzishughulikia na kutimiza.
Kwa...
This is the most beautiful advice I have ever received in an email....
Please don't close or delete this one before reading!
An Angel says, 'Never borrow from the future. If you...
Nimekutana na habari hii yahoo news....
Indian doctors are studying a remarkable 83-year-old holy man who claims to have spent the last seven decades without food and water.
The...
Kitendo cha waziri kiongozi wa zanzibar kusema hadharani kwamba tanzania tunaibiwa katika mgodi wa tanzanite imetofautiana na mkuu mwenzake katika wizara ya madini ambapo alisema tanzania inapata...
Nimetafakari kwa ukaribu na nikakuta UVCCM ndio umoja wa vijana hapa nchi ambao una vijana wengi waliojiunga katika ummoja huo, na ndio kama inavyodaiwa na CCM ndio wapiganaji wao katika shughuri...
Heshima kwenu wapwas,
Baada ya kuwa nimepoteza imani na kila kitu katika maisha yangu, baada ya kuona kuwa sasa siwezi kufanya kitu chochote kwa sababu ya kukata tamaa na maisha.. yes usishangae...
Nimeona tangazo kwenye gazeti la Daily News la wiki iliyopita kwenye nafasi za Kazi. Imeandikwa kuwa Wanafunzi wa Tumaini Iringa waliosoma sheria wasiapply. Nani mwingine ameliona? Ni kwanini...
1. Buy made in Tanzania goods, whenever you can afford to, and whenever they are of comparable quality to foreign goods. Personally, I would advice that we buy quality. No point patronising...
Two die in car accident at Geita mine - AngloGold
I-Net Bridge | Wed, 12 May 2010 17:22
[miningmx.com] --Gold miner AngloGold Ashanti on Wednesday reported the death of two workers in a...
IMAGINE:
ANAKUFUMANIA: Analia, ananyamaza, anasononeka, unambembeleza
anakuelewa, anakusamehe halafu anasahau!!!
UNAZAA NJE YA NDOA: Anasononeka na kulia sana. Anakuchukia lakini...
Mussa Mkama
RAIS Jakaya Kikwete amemsifu Rais Mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa kuwa ni jasiri kutokana na maamuzi aliyoyafanya kuiingiza nchi maskini kama Tanzania katika mtihani mzito...
Wengine sita wajeruhiwa vibaya, walazwa hospitalini
Watu watatu wamekufa papo hapo na wengine watano kujeruhiwa vibaya baada gari walilokuwa wakisafiria kutoka Kata ya Kitunda...
POLISI Kanda Maalumu ya Mkoa wa Tarime/Rorya inashikilia na kuhoji watu wawili raia wa Kenya, Ramadhan Lameck (28) na Mtanzania wa kijiji cha Gwitityo, Seleman Mwita (35) kwa kupatikana na bomu...
Meli ya kivita ya Uingereza, HMS Chatham, ikiwa kwenye Bandari ya Dar es Salaam jana. Meli hiyo ambayo iko katika operesheni ya kulinda bahari chini ya mwamvuli wa Majeshi ya Kulinda Amani ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.