Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
About 4 years back, nilienda Nairobi, wakati natembea downtown mchana, walinitokezea mijitu minne mirefu na meusi titii! Ilinizunguka huku wakiwa na visu, sikutaka kuleta kukuru kakara kwa kuwa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Hii ni kwa mujibu wa Tovuti ya WAVUTI... Kuna watu wana tabia ya kiherehere, wanaopenda kubofya bofya kila linki wanayopokea hasa pale inapohusu habari za kustua ama gumzo dhidi ya watu...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kuna rafiki yangu amenitumia email hii ambayo imenishtua kiasi fulani. Wanajamii forum hebu tuichunguze na kuijadili kuona kama ina ukweli wowote. "Habari ndio hiyo, uamuzi ni wako Kwa mujibu wa...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA NDANI YA ULIMWENGU WA ULIMWENGU TBC 1. Jana tarehe 16/march/2010, Msajili wa vyama vya siasa alikuwa mgeni mwalikwa katika kipindi cha ulimwengu wa ulimwengu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nina Hofu sana na Hatma ya Afro. Nakumbuka huyu bwana alianzisha Thread moja Nzito yenye Tittle ''joseph Kussaga na ufisadi wake katika entertainment Tanzania'' Huyu bwana alikua anawakiliosha...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Naomba msaada wana jamii. Ms Excel file zangu zenye rekodi za biashara kwa miaka 3 iliyopita zime "corrupt" na haziwezi kufunguka. Nimeelezwa nikipata software ya kurepair au recovery basi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
March 15 ni maadhimisho ya siku ya mlaji duniani. Nami kama Mtanzania ni mara yangu ya kwanza kusikia maadhimisho ya siku hii katika taifa letu. Nakiri kuwa sijapata nafasi ya kutosha kujua nini...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu naombeni msaada! Nina ujumbe wa vijana wangu saba nawatuma kuelekea Tanga kibiashara, wote ni wageni mkoa wa Tanga. Naombeni mnijuze hotel za kati zenye kiwango kati ya Tsh. 15,000 na Tsh...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hapa sijaelewa,Mwananchi mmoja huko Lindi aliuwawa na wananchi wenye hasira kali baada ya kukutwa akiiba kuku! Mambo haya yamezoeleka tuu , kwani Kamanda wa Polisi amesema...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
SHEIKH YAHYA ANUSURIKA KUUAWA Habari zisizo na shaka zinasema kuwa mashabiki hao, wengi wao wakiwa wa Klabu ya Simba, walivamia nyumbani kwa mnajimu huyo kwa lengo la ‘kumrudi’ kutokana na kile...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
"Halooo nipigie mm............".kataja jina lake eeeh nakaa cnhang'ombe Tra,haya kwaiyo unakuja kesho?saw karibu" "Dada kesho shemeji yangu anakuja kunitembelea"nikamjibu "Mbona shemeji yako na si...
0 Reactions
40 Replies
4K Views
jana bana mazoea kweli yanatabu,kila nikifungua inagoma nikamuendea mtu wa IT hapa job na kuanza kugombana nae kwamba kwann wanablok sites?jamaaa innocently akaniambia sio mm nadhani Head office...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
WANAFUNZI wa Shule ya Sekondari ya Mwanagati iliyo Kata ya Kitunda wilayani Ilala jana waliandamana kupinga elimu duni inayotolewa katika shule hiyo ya serikali iliyofunguliwa mwaka 2006, lakini...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Money does matterWorried about how you'll behave when you win the lotto? A recent study shows that even just thinking about money may actually affect behavior. "The mere presence of money changes...
0 Reactions
1 Replies
847 Views
VYAMA vinavyounda Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA) vimeanza kutoa mwongozo kwa wanachama wao, kuunga mkono mgomo wa wafanyakazi nchini nzima, ikiwa ni pamoja na kuwashawishi kushiriki...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kuna ule wimbo wa Msondo Ngoma ''ukiona mtu mzima analia, ujue kuna jambo'' nimezidi kuuelewa huo wimbo jana jioni wakati narejea nyumbani. Nilikuwa natokea IFM kupitia Shaaban Robert street...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
GOLD NEWS AFRICAN GOLD Tanzania's 2009 gold earnings up 15% The country's gold sector was helped along by higher bullion prices and an increase in output the central bank said on Monday DAR ES...
0 Reactions
0 Replies
854 Views
Imekuwa ni desturi kwa Marais kuweka wanafamilia katika madaraka ya nchi. mfano Museven alimteua mkewe kuwa waziri, Mtoto wake wa kiume kuongoza kikosi chake cha ulinzi wa rais, mtoto wa kikie...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
One day a little girl jumped trying to touch leaves on a tree. Another girl was wearing a red dress on that day, she was nearby but she didn't see the jump. A woman in orange sari was thinking...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Government forces only control a small part of the capital, Mogadishu A powerful Sufi Muslim group has joined Somalia's government to...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom