Thursday, December 24, 2009 4:39 AM
Baba mmoja nchini Australia ambaye alikuwa akitilia shaka urijali wa mtoto wake mwenye umri wa miaka 14 ameingia matatani baada ya kumlazimisha mtoto wake...
Salaam kwenu wote,
Naomba msaada wenu. Kwa muda sasa sijapata fursa ya kumsikia na kumuona Rais wetu akihutubia taifa kupitia utaratibu wake wa kuongea na Watanzania kila mwezi kwa njia ya...
A NATIONAL Road Safety Agency that would among other things issue driving licences instead of the police force is in its final stages of formation. Already an interim road safety agency has been...
mm nipo zanzibar jana siku nzima hakukuwa na umeme kisiwa chote, ukarudi saa kumi na moja for two hours then ukakatika hadi this time haujarudi, kama kuna mwenye data zaidi. HII NI HATARI...
KIJANA mmoja jina halikuweza kupatikana mara moja, mwenye umri kati ya 28 na30 amejeruhiwa na konda wa daladala baada ya kugoma kulipa shilingi 50 kwenye daladala hali iliyomfanya konda wa gari...
Jamani mmeona gazeti la "]LEO TENA [/B]la leo!!!? Ivi ni gazeti linalotia aibu au ile picha ndo inayotia aibu!!? Kweli zile ni picha za kuweka front page?? Ivi watoto wetu watakuwa na maadili gani...
SIKU chache tu kabla ya kuanza kwa mwaka wa mchakato wa kuelekea kilele cha Uchaguzi Mkuu, baadhi ya wabunge waliopoteza matumaini ya kurejea bungeni wameanza kusitisha harakati hizo huku baadhi...
Kijana wa Kitanzania Salum Kombo aliyeuliwa kwa kuchomwa na kisu na rafiki yake
Kijana wa Kitanzania mwenye umri wa miaka 18 aliyekuwa akiishi na kusoma nchini Uingereza ameuliwa kwa kuchomwa kisu...
http://www.youtube.com/watch?v=THcbQyFtCqg
Nakumbuka wakati ule wa edi hali ilikuwa ngumu kwa waisilamu waliokuwa wanarudi
nyumbani kula sikuku na familia zao ,naimani na wezetu wali okuwapo...
Mkurugenzi mkuu wa Mamlaka ya reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) Bw. Henry Chipeo inasemekana ametoroka nchini na hajulikani alipo.
Habari zinasema kuwa Bw. Chipeo huenda ameamua kutoroka...
Nashangaa sana kuna thread nyingi zinawalaumu Wahaya.Wamekuwa kama Jews wa Tanzania,kila kitu kibaya ni wao,ufisadi,ukabila,ngono,majidai etc etc.Facts ni hizi hapa:
Ukabila:Sidhani wanatofautiana...
Nahisi hii thread nayo, hapa si pahala pake lakini nahitaji immediate response kwa kile ninachoamini kwamba forum hii (hoja mchanganyiko) ndio inayotembelewa zaidi na wanajamii-am sorry in...
Nahisi hii thread, hapa si pahala pake lakini nahitaji immediate response kwa kile ninachoamini kwamba forum hii (hoja mchanganyiko) ndio inayotembelewa zaidi na wanajamii-am sorry in advance...
Ni zamu ya Kikwete
Baada ya Lowassa, Rostam...
na Irene Mark
Tanzania Daima~Sauti ya Watu
BAADA ya wanamtandao wawili maarufu, Edward Lowassa na swahiba wake kisiasa, Rostam Aziz...
kwa mujibu wa taarifa ya habari ya TBC ninayoiangalia saa hizi:
mamia na ma-elfu ya abiria waendao mikoa ya manyara na singida wamekwama njiani baada ya daraja mojawapo linalotumika na mabasi...
A 6-year-old boy somehow climbed inside a homemade, helium-powered aircraft in Ft. Collins, Colorado -- and now the craft is careening out of control with the boy stuck inside.
The Larimer...
Premier League - Manchester United top hooligan arrest league
Eurosport - Wed, 23 Dec 11:09:00 2009
Buzz Up!
Manchester United had more fans arrested for hooliganism last season than any other...
Nawatakia kila la kheir na mafanikio mema katika Mwaka huu mpya wa Kiislam 1431 Hijiriyah.
Hakika ni vizuri wote kuangalia nini tumekifanya mwaka uliopita 1430 na nini tunakusudia kufanya mwaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.