Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Natumai wote hamjambo wanajamii wenzangu! mwaka 2009 ndo unaeleka ukingoni, ni siku chache zimebaki kabla mwaka huu haujaisha na kuukaribisha mwaka mpya 2010. Kuna baadhi ya watu wanasema mwaka...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hebu tuambizane wazi jamani, watu wa makamo na wazee HATA VIJANA, hivi kondomu mnazitumia, tuseme tu wazi mmoja mmoja, mimi kusema kweli siwezi kutumia kondomu kabisaaa, tena siwezi kuona raha...
0 Reactions
40 Replies
5K Views
( Mjadala huu nimeunasa kule Michuzi blog) Hali ya siasa ‘yatulia’ miaka minne ya JK Na Mgaya Kingoba "NCHI hii haijawahi kuongozwa na malaika wala haitapata kuongozwa na rais malaika…Rais...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
na Esther Mbussi WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda ametakiwa kuwashinikiza mawaziri ambao wizara zao zimeguswa katika ripoti ya Umoja wa Mataifa (UN) kujibu au kutoa ufafanuzi kuhusu hoja na tuhuma...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
I strive hard to be lazy. I resolve to Force myself to wander. I’m selfishly compassionate. This reminds me of the Second Splendid Truth! I desire to not want. Oh, I recognize that one. Sometimes...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
mapambano yanaendelea.....? DAILY NEWS: Monday December 21, 2009 THE High Court has allowed Igunga Member of Parliament Rostam Aziz and three other defendants to file their defence, seeking...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
MDA SI MREFU TUTA ANZA DECADE NYINGINE HALAFU KUTAKUWA NA THE TWENTIES,THE THIRTIES,THE FORTIES,THE FIFTIES, SASA HII DECADE NA INAYOANZA INAITWAJE????? KAMA VILE THE EIGHTIES,THE SEVENTIES...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ninakumbuka vyema wakati wa Mwl Nyerere, rasimu za bajeti za Serikali zilikuwa zinapelekwa kwa wasomi na wataalamu, vikiwemo vyuo vikuu vyetu, hasa UDSM kupitiwa kabla ya kupelekwa bungeni. Lengo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
MVUTANO uliojitokeza kuhusu kusuasua kwa utengenezaji wa barabara ya kilomita 64 ya Bagamoyo-Msata kwa kiwango cha lami, umeingia sura mpya baada ya kubainika kuwa raia mmoja wa Korea ndio kiini...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
DAR ES SALAAM, Dec 20 (Reuters) - A 6.2-magnitude earthquake struck southwest Tanzania early on Sunday morning but does not appear to have caused any damage, a regional police chief said. The...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
KAMA UNATAKA KUOKOKA Sala ya Toba Inawezekana kabisa ya kuwa wewe unayesoma ujumbe huu hujaokoka - yaani hujampokea Yesu Kristo ndani ya moyo wako kama Bwana na Mwokozi wako. Lakini sasa umeona...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
leo umetimiza miaka minne tangu kuapishwa kwako, kazi zako zinaonekana, sekta zote, elimu, shule za yeboyebo zinatia moyo hata kama wanapiga kelele lakini mi najua in long run ina positive impact...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Sometime back in 2006 the Government of Tanzania (GoT) took a bold decision and terminated the ill fated “marriage” between Air Tanzania Limited (ATCL) and South African Airways (SAA). There was...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Utafiti uliofanywa na watafiti wa hapa nchini wakishirikiana na wale wa India wamegundua kuwa rangi zinazopakwa kwenye kuta za nyumba zina kiwango kikubwa cha madini ya risasi (Lead) madhara yake...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
30 second Speech by Bryan Dyson (CEO of Coca Cola) VERY SHORT, MOST EFFECTIVE AND HOW TRUE... 30 second Speech by Bryan Dyson (CEO of Coca Cola) "Imagine life as a game in which you are...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Tanzanian women have been cautioned against ignorant use of chemicals to bleach their skins following a confirmed case of a woman ‘melted’ after swallowing tablets to enhance her beauty. The...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Leo nimepita maeneo ya Snow crest hotel aliyozindua Mheshimiwa Rais Jakaya Kikwete siku ya ijumaa nakukuta uzio[ukuta] umebomolewa. Nimejiuliza maswali mengi bila kupata majibu,inakuwaje hotel...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
USA in 1922- shocking Rare Photo from history- 1922 in USA!!! "June 30, 1922. Washington policeman Bill Norton measuring the distance between knee and suit at the Tidal Basin bathing beach...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Heshima mbele, Picha yaongea maneno alfu walisema wahenga, na picha hii ambayo si ngeni machoni pa wana JF wengi ilishika nafasi ya tano katika shindano la Radio Netherlands Worldwide...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom