Natumai wote hamjambo wanajamii wenzangu!
mwaka 2009 ndo unaeleka ukingoni, ni siku chache zimebaki kabla mwaka huu haujaisha na kuukaribisha mwaka mpya 2010. Kuna baadhi ya watu wanasema mwaka...
Hebu tuambizane wazi jamani, watu wa makamo na wazee HATA VIJANA, hivi kondomu mnazitumia, tuseme tu wazi mmoja mmoja, mimi kusema kweli siwezi kutumia kondomu kabisaaa, tena siwezi kuona raha...
( Mjadala huu nimeunasa kule Michuzi blog)
Hali ya siasa yatulia miaka minne ya JK
Na Mgaya Kingoba
"NCHI hii haijawahi kuongozwa na malaika wala haitapata kuongozwa na rais malaika Rais...
na Esther Mbussi
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda ametakiwa kuwashinikiza mawaziri ambao wizara zao zimeguswa katika ripoti ya Umoja wa Mataifa (UN) kujibu au kutoa ufafanuzi kuhusu hoja na tuhuma...
I strive hard to be lazy. I resolve to Force myself to wander.
Im selfishly compassionate. This reminds me of the Second Splendid Truth!
I desire to not want. Oh, I recognize that one.
Sometimes...
mapambano yanaendelea.....?
DAILY NEWS: Monday December 21, 2009
THE High Court has allowed Igunga Member of Parliament Rostam Aziz and three other defendants to file their defence, seeking...
MDA SI MREFU TUTA ANZA DECADE NYINGINE
HALAFU KUTAKUWA NA THE TWENTIES,THE THIRTIES,THE FORTIES,THE FIFTIES,
SASA HII DECADE NA INAYOANZA INAITWAJE?????
KAMA VILE THE EIGHTIES,THE SEVENTIES...
Ninakumbuka vyema wakati wa Mwl Nyerere, rasimu za bajeti za Serikali zilikuwa zinapelekwa kwa wasomi na wataalamu, vikiwemo vyuo vikuu vyetu, hasa UDSM kupitiwa kabla ya kupelekwa bungeni. Lengo...
MVUTANO uliojitokeza kuhusu kusuasua kwa utengenezaji wa barabara ya kilomita 64 ya Bagamoyo-Msata kwa kiwango cha lami, umeingia sura mpya baada ya kubainika kuwa raia mmoja wa Korea ndio kiini...
DAR ES SALAAM, Dec 20 (Reuters) - A 6.2-magnitude earthquake struck southwest Tanzania early on Sunday morning but does not appear to have caused any damage, a regional police chief said.
The...
KAMA UNATAKA KUOKOKA
Sala ya Toba
Inawezekana kabisa ya kuwa wewe unayesoma ujumbe huu hujaokoka - yaani hujampokea Yesu Kristo ndani ya moyo wako kama Bwana na Mwokozi wako. Lakini sasa umeona...
leo umetimiza miaka minne tangu kuapishwa kwako, kazi zako zinaonekana, sekta zote, elimu, shule za yeboyebo zinatia moyo hata kama wanapiga kelele lakini mi najua in long run ina positive impact...
Sometime back in 2006 the Government of Tanzania (GoT) took a bold decision and terminated the ill fated marriage between Air Tanzania Limited (ATCL) and South African Airways (SAA). There was...
Utafiti uliofanywa na watafiti wa hapa nchini wakishirikiana na wale wa India wamegundua kuwa rangi zinazopakwa kwenye kuta za nyumba zina kiwango kikubwa cha madini ya risasi (Lead)
madhara yake...
30 second Speech by Bryan Dyson (CEO of Coca Cola)
VERY SHORT, MOST EFFECTIVE AND HOW TRUE...
30 second Speech by Bryan Dyson (CEO of Coca Cola)
"Imagine life as a game in which you are...
Tanzanian women have been cautioned against ignorant use of chemicals to bleach their skins following a confirmed case of a woman melted after swallowing tablets to enhance her beauty.
The...
Leo nimepita maeneo ya Snow crest hotel aliyozindua Mheshimiwa Rais Jakaya Kikwete siku ya ijumaa nakukuta uzio[ukuta] umebomolewa.
Nimejiuliza maswali mengi bila kupata majibu,inakuwaje hotel...
USA in 1922- shocking
Rare Photo from history- 1922 in USA!!!
"June 30, 1922. Washington policeman Bill Norton measuring the distance between knee and suit at the Tidal Basin bathing beach...
Heshima mbele,
Picha yaongea maneno alfu walisema wahenga, na picha hii ambayo si ngeni machoni pa wana JF wengi ilishika nafasi ya tano katika shindano la Radio Netherlands Worldwide...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.