Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Friday, October 09, 2009 MKAZI mmoja wa Mbagala, Shiza Rajab (25) amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala ya ya jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za kujifanya Naibu Waziri wa Ulinzi na Jeshi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kama wewe ni mtanzania,na upo tanzania kwa sasa,na una elimu nzuri kabisa ya uraia basi leo ndio siku ya mwisho kabisa ya kuhitimisha zoezi hili Naamini kabisa mabadiliko ambayo kila mtanzania...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Nachukua nafasi hii kumshukuru ramthods na jf kwani tatizo langu limetatuliwa....Wana jf kuna kipindui niliandika humu jamvini kuhusu clouds fm wanavyoniibia,watu wengi sana waliguswa kwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari za kuaminika kutoka kampuni ya uchapishaji wa magazeti ya New Habari inayomilikiwa na Mbunge wa Igunga Rostam Aziz zinasema kwamba gazeti la kila siku la Mtanzania limeporomoka mauzo kiasi...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
HOFU kubwa imetanda kwa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam na vitongoji vyake na wale wakazi wa Mkoa wa Pwani kufuatia sumu iliyomwagwa na wavuvi katika mto Ruvu kwa lengo la kuvua samaki...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Zurich gives go-ahead to poster with 'racist image of Islam' ahead of Swiss vote on allowing minarets at mosques Last updated at 10:49 PM on 08th October 2009 Zurich city council said...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
:confused: UNAWEZA KUSHANGAA,HIVI HII NI WILAYA GANI AMBAYO HAINA YALE MUHIMU KILA MWAKA? Mwaka huu kwa waliowengi kutoka mwaka jana matarajio yao ilikuwa mwaka huu ndo waone walau RAMI(BARABARA)...
0 Reactions
3 Replies
6K Views
EXPERTS from Norway are in the country to start repairing the 60MW turbine that broke down at Kihansi hydropower plant on September 7. The Deputy Minister for Energy and Minerals, Adam Malima...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakati uliopita, mmoja wetu aliweka hapa jamvini details za minilaptop na feedback kutoka kwa wadau zilikuwa za kukatisha tamaa. Hata hivyo nimekuwa nikitumia hii minilaptop sasa kwa muda na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kuna mjadala utaibuka muda si mrefu, unaohusiana na jitihada za kifisadi za kuuzima na kuufunika kabisa mchakato wa kurasimisha sekta ya sanaa Tanzania, jambo ambalo ndugu yangu JK ameliweka...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Friday, 09 October 2009 Na Grace Michael SHAHIDI wa tano wa upande wa Mashitaka ambaye ni Mkurugenzi wa Benki Kuu Bw. Emmanuel Boaz ameieleza mahakama kuwa dokezo la kuomba idhini ya malipo ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
SHUTUMA DHIDI YANGU (AFRICAR KAGEMA) KUTOKA SALES TEAM Ni wajibu wetu sote kutambua kuwa biashara sio siasa na aihitaji mambo ya kisiasa badala yake inahitaji uwajibikaji na uzalendo kwa kila...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ni kitu cha kushangaza sana ikiwa webmaster wa UDSM ICT ndiye webmaster wa HESLB na ame-upload contents za UDSM ICT kwenye HESLB. What a shame?!!!! Ukifungua http://heslb.go.tz unapata contents za...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
9th October 2009 Na Richard Makore Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi, Jeremiah Sumari. Serikali imesema mashine nyingi za kutolea fedha benki (ATM), ni mbovu kwa kuwa huingizwa...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
</SPAN> Abdul-Jawad akiwa kitandani akielezea jinsi alivyomla uroda jirani yake wakati huo akiwa na umri wa miaka 14. Mwanaume wa Saudi Arabia ambaye alijisifia kwenye kipindi cha luninga...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wana JF salaam.Naomba mnisaidie kwa hili ni zito.Shirika la NASA limetuma bomu kwenda kuulipua mwezi.Lengo lao ni kupata barafu iliyopo katika mwezi. Je hatua hiyo si hatari kwa wanadamu? Gharama...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
KWA bahati nzuri, uhuru wa kutoa maoni hapa nchini hautokani na ridhaa ya chama chochote cha siasa iwe kupitia vikao vyake rasmi au vinginevyo, na hasa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Na zaidi, uhuru...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
A stolen or lost wallet can ruin even the most magical of holidays. So, before you head off on your travels, make sure you follow our top tips on keeping your money and cards safe. 1. Use a...
0 Reactions
2 Replies
943 Views
Why Are Women So Unhappy At Work? By Sean Silverthorne October 7th, 2009 @ 8:30 am Some startling research, at least to this male, reports that women are twice...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom