Kuna jamaa yangu tokea majuzi alikuwa akishinda Makao Makuu ya Uhamiaji pale Kurasini kufuatilia passport ya mwanawe anayetakiwa kusafiri nje ya nchi kwa ajili ya masomo ila leo aliwasikia baadhi...
Wadau habarini za jioni.
Ndugu zangu naombeni tupeane update kwa waliomba maombi ya scholarship za china kama majibu wameanza kupata .
Natanguliza shukrani zangu za dhati
1. Bomoa bomoa ya ubungo kimara imesitishwa hadi mwakani kupisha upanuzi wa mwendo kasi kuanzia kibo hadi kimara.
2. Estim wamekabidhiwa upanuzi wa kimara kibaha njia sita.
Haya yamesemwa na...
Habari nilizonyetisha mahala nikiwa napata supu ya ng'ombe ni kwamba Wafanyabiashara hao wapatao 117 ndani ya Jiji la Arusha wanajiandaa kuteketeza zao lao la ngozi litokanalo na ng'ombe...
Habari ya siku nyingi sana wanajamvi wenzangu,nimepita hapa Dodoma kikazi kiukweli sijaelewa mji mzuri kama huu unakosa stendi ya Dala dala,katika kuuliza nikaambiwa pale jamatini ndipo dala dala...
Nachukizwa Sana na hili jambo sidhani Kama wewe lishawahi kukükuta kila nikiwa kwenye foleni ikifika zamu yangu Mtoa huduma ndio ana nyanyuka na kuondoka
Nimefanya risechi iwe ni
Hospital
Bank...
Happy New Month to all...
Leo ni tarehe 1 July,mwezi uliokuwa ukisubiriwa kwa hamu na watumishi wazalendo,sioni shauku,matumaini,bashasha na furaha kama enzi zileeee,nini kimetokea?
Mwenye...
Wakuu nianze hivi, mimi miez kama mitatu imepita nlikuwa nakatiza kariakoo-mtaa wa Agrey na mshikaji wangu mara akapita binti mkali jamaa akanishtua nimwangalie ( kama ilivyo hulka ya wanaume...
Wakati Bunge likijiandaa na ukusanyaji wa maoni ya wadau katika mabadiliko ya Sheria ya NGOs (The Non-Governmental Organization Act), baadhi ya Wabunge wameshindwa kujificha kimaadili na kukubali...
habari wapendwa katika Imani nimepitia baadhi ya vitabu ambavyo nimeandikwa kuhusu ndoto, Na vitabu vingi vimeandika samaki maana yake ni watu. na ukiota unavua samaki maana yake unapeleka kondoo...
Doctor naombeni msaada wa aina ya dawa nitumie ya macho, tatzo langu ninauono hafifu wa macho ulioanza mwanzoni mwa mwakahuu, macho hayaumi wala kutoa machozi
Naombeni msaada
Baada ya mawaziri wawili wa JK kuhusishwa na umiliki wa majumba/makazi ya mamilioini ya shilingi muda mfupi tu baada ya kushika nafasi zao Waziri mwingine anatajwa kumilimi jumba kubwa ambalo...
Wakuu habari kwa sasa nipo ukanda wa ziwa tanganyika kijiji kimoja cha ndani kbs(jina nalihifazi). kwa takriban miezi mitatu sasa nimezoena na watu kidogo ila juzi kunambibi jirani yangu anashamba...
Akizungumza na vyombo vya habari mwanzilishi wa mtandao huo Mark Zuckerberg,, amewakosoa vikali wale ambao wanatoa wito kampuni hiyo ifungwe, akiongeza kuwa wanafanya kila wawezalo kukabiliana na...
Askofu wa kanisa la ufufuo na uzima - Archbishop GWAJIMA anatarajia kufanya press conference na waandishi wa habari kanisani kwake-ubungo asubuhi ya leo ya tarehe 08/05/2019 kuanzia muda wa saa...
Hongeren sana wanachama wenzangu wa dar Yanga afrika kwa kumaliza uchaguzi salama na naunga mkono uteuzi wa mwenyekiti na makamu mwenyekiti,
Yanga sasa ni imara kama chuma sasa ni wakati wa watu...
Habari zenu jamani Mabibi na Mabwana,nilikuwa napenda kuuliza kwa mwenye kujua eti sie waislamu funga yetu ya Ramadhani inaanza Kesho Jumatatu ama Keshokutwa Jumanne,Jaziba wekeni pembeni busara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.