Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Taasisi na Mashirika ya Umma nchini yametakiwa kujikita katika kufikiria njia mbalimbali zitakazowawezesha kuwekeza nje ya nchi ili kusaidia nchi iendelee kujitawala kiuchumi. Rai hiyo imetolewa...
0 Reactions
2 Replies
283 Views
Hizi lebo za bia haziwezi kutumika mara mbili kupunguza gharama za kuchapa lebo mpya? Lebo nyingi zinamfikia mnywaji zikiwa katika hali nzuri kabisa na zinarudishwa kiwandani zikiwa zipo vema...
1 Reactions
6 Replies
403 Views
Ulikuwa mwema binti mpole, mavazi ya kiafrika kutoka kijijini, ulipofika mjini ofisi ikakuamini ikakupa kazi, ofisi ikakufundisha na mavazi ya kuvaa binti, ukakubali ukaanza kuvaa European style...
4 Reactions
15 Replies
454 Views
Serikali ikikupa ubalozi nchi fulani ukishindwa kutoboa basi utakuwa unatatizo. Hivi unapelekwa nchi kama USA, CANADA, FRANCE, UJERUMANI, POLAND, AUSTRALIA, JAPAN, CHINA, KOREA, UNITED ARAB...
3 Reactions
4 Replies
402 Views
Salaam, shalom, Tuendelee na MADA zamivu katika masuala yasiyoonekana Kwa macho. Usilolijua, sasa tunaishi wakati ambao MUHURI wa nne umekwisha Funguliwa, kuzimu imeruhusiwa kuja Duniani kuvuna...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
https://www.youtube.com/live/380UNEwvBCo?si=ES97yMPqBEkG_Qon Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu Tanzania (LHRC) wakati kikizindua Ripoti ya 10 ya Biashara na Haki za Binadamu leo August 27...
1 Reactions
2 Replies
953 Views
Ushauri huu unatoa mwanga mzuri kwa vijana kuhusu maadili na namna ya kujitunza. 1-no tattoos 2-no kutoboa pua na maskio kwa wanaume. 3-no twerking hadharani. 4-usivae kibukta kinachoacha nusu...
6 Reactions
16 Replies
486 Views
KAMA NILIVYOZUNGUMZA JUZI KUWA MAMBO YAMEBADILIKA SANA, SIO KILA ANAEKUTONGOZA SASAHIVI ANAKUTAKA KIMAPENZI WENGINE WAKO KAZINI HUYU BINTI ALIKUJA KWANGU MAJUZI NIKAMUOMBEA AKAFUNGULIWA NA BADO...
4 Reactions
7 Replies
891 Views
Mwanafunzi wa shule ya sekondary mnadani iliyopo mkoani Dodoma ameonekana akiwa amevimba mikono na akionesha makovu kwenye sehemu ya mwili wake akidai ni moja ya mwalimu ndo alimpa adhabu hiyo
4 Reactions
37 Replies
1K Views
Natafuta chumba cha kupanga kahama chenye umeme bei isizidi 30k Naombeni namba za madalali
3 Reactions
5 Replies
515 Views
Nawaza kile kinachoitwa mwisho wa dunia, au wengine wanaita kiama siku kikitokea halafu tukakuta hakuna adhabu yoyote sijui itakuwaje. Nawaza maisha ya wanaoishi ni kutamani kuishi milele, vipi...
3 Reactions
7 Replies
255 Views
Hii nchi chezea vyote usimguse kiongozi Mwandamizi yeyote. Nabii Tito alilitambua hili ndio maana huwa hajawahi kuwapinga. Mara nyingi huwasifia. Pili usiguse watu watu wa Dini ya Kiislamu...
10 Reactions
115 Replies
3K Views
MBUNGE WANU AMEIR Awaahidi Wanafunzi wa Skuli ya Hasnuu Makame Watakaofaulu Shahada ya Kwanza Kupata Scholarship Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Kusini Unguja na Mwenyekiti wa Mwanamke Initiative...
0 Reactions
2 Replies
485 Views
Ikiwa kweli mnafahamu hatua za muhimu za mabadiliko ya mwanadamu na maendeleo ya kijamii katika historia ya kukabiliana na majukumu ya Lazima, lakini pia mahitaji mtambuka ya kila siku. Kwa...
1 Reactions
0 Replies
257 Views
Moderator naomba msi uunganishe Uzi huu na Uzi mwingine. Ninawaomba hayo kwa jina la Maxence Melo Na declare interest. Mimi ni mfuasi wa dini za jadi za kiafrika. 1. Ukristo ni imani ila...
23 Reactions
145 Replies
8K Views
Hakuna msimamizi wa maisha yako isipokuwa ni wewe mwenyewe. Unachokionesha Kwa kujua au kutojua ndicho watu wanachokiona. Siyo lazima watu wakuone kama unavyojiona ila ni lazima watu wakuone sawa...
3 Reactions
10 Replies
339 Views
Baada ya kufanya vipimo vya DNA ili kujua babu yake alitoka wapi barani Africa, amegundua kwamba babu yake alitoka Congo. Ingawa hakuweza wazi whether is Brazzaville or Kinshasa but tuna assume...
0 Reactions
0 Replies
156 Views
Anonymous (edd4)
Kumekuwa na tabia ambayo imezidi kumea katika jamii yetu na nchi kwa ujumla kwa makampuni ya mikopo kutuma msg kwenye siku zetu wakitangaza huduma zao. Idara za masoko za makampuni ya kukopesha...
1 Reactions
1 Replies
652 Views
Nakumbuka kuna idadi ya wanafunzi waliotengewa nafasi za MD kwa diploma qualification. Huwa ni nafasi ngapi?
1 Reactions
4 Replies
450 Views
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari, ameapa kiapo cha uaminifu bungeni leo Agosti 27, 2024. Ameapa mbele ya Spika wa Bunge la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Dk Tulia Ackson, katika kikao...
0 Reactions
3 Replies
327 Views
Back
Top Bottom