International Forum

News and Stories from rest of the World
Central Banks to begin using digital currencies soon and it won’t matter whether people are ready for it.This is a huge development for humanity. Wednesday, January 18, 2023 A report published...
0 Reactions
3 Replies
515 Views
Katika utambuzi wake huo Jamaica imesema imefanya hivyo kwa kutekeleza maazimio ya umoja wa mataifa na kanuni za usawa na kuheshimiana. Kilichoisukuma kufanya hivyo ni vita vinavyoendelea Gaza na...
2 Reactions
24 Replies
1K Views
Malcolm X anasema kuwa demokrasia ni "unafiki". Ni tofauti kabisa na inavyoandikwa na kuhubiriwa duniani. Kwa kiasi kikubwa sasa dunia inashuhudia huu unafiki uitwao demokrasia. Tumsikilize kwa...
0 Reactions
10 Replies
579 Views
1. Hawa ndiyo wale vigogo wachache wa aina ya South Africa huko: 2. Kwamba Natenyahu ni kama yale mapanya road yale ya pande za kwetu tu? 3. Ana sifa gani, wapi, kiumbe huyu kwenye ulimwengu...
9 Reactions
35 Replies
1K Views
Hossein Hosseini, mlinda mlango wa klabu ya soka ya Esteghlal ya Iran, ameitwa kwenye kamati ya nidhamu ya Shirikisho la Soka ili kuelezea tukio la kumkumbatia shabiki wa kike. Tukio hilo...
7 Reactions
92 Replies
3K Views
Maandamano yanayoambukizika ya vyuo vikuu maarufu nchini Marekani yameanza kuihofisha serikali kuu ya nchi hiyo. Nguvu zimetumika kuwatawanya wanafunzi wa chuo kikuu cha Columbia baada ya spika...
4 Reactions
69 Replies
3K Views
In 16 years of power, Angela Merkel did not appoint any of her relatives to a state position. Germany said goodbye to its leader, physicist and quantum chemist, who was not tempted by fashion or...
11 Reactions
41 Replies
2K Views
Kenya iliorodheshwa katika nafasi ya nne katika nchi tajiri zaidi barani Afrika na siku 2 zilizopita Kenya imeorodheshwa miongoni mwa masoko makubwa matano tajiri barani Afrika yenye mamilionea na...
4 Reactions
35 Replies
2K Views
Hawa UAE ni ndugu zetu wa damu kabisa, tumeoleana pia ni wajomba zetu hawa. UAE wametoa orodha ya nchi ambazo raia wake wanaweza kuingia nchini mwao bila ya visa. Nchi walizoziruhusu zote ni hizo...
4 Reactions
58 Replies
3K Views
Burkina Faso suspended the BBC and Voice of America radio stations for their coverage of a report by Human Rights Watch on a mass killing of civilians carried out by the country’s armed forces...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu Naomba kupewa ABC kuhusu hii kitu nimekuwa nikifatilia since wayback lakini sijaanza kushiriki mana sijui natakiwa niwe na kitu gani haswa chamsingi Nawasilisha
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Wadau hamjamboni nyote Waziri wa Usalama mwenye msimami mkali wa Israel Itamar Ben Gvir anusurika kwenye ajali mbaya ya gari na amekimbizwa hospital anakopatiwa matibabu Polisi wanaendesha...
2 Reactions
23 Replies
2K Views
Wakati HAMAS wanaivamia Israel October 7 na kuua kikatili Waisrael zaidi ya 1200 na wengine kuwachukua mateka, walijua wazi kuwa Israel wangelipa kisasi kikatili pia,na walijua kabisa kuwa maelfu...
11 Reactions
24 Replies
2K Views
Kumekuwepo na nukta ambazo zimekwamisha makubaliano ya kusitisha vita kwa muda mrefu kati ya Israel na Hamas. Israel imeshikilia haitaki kuona Hamas ikiendelea kuitawala Gaza na la plli ni kupata...
5 Reactions
20 Replies
1K Views
Kabla ya Ujenzi wa hekalu La Suleiman, Mambo yafatayo yanatangulia kwanza 1) Kutoa sadaka ya ng'ombe mwekundu. 2) Hii sadaka ni kwa ajili ya kutakasa eneo la Ujenzi wa hekalu. 3) Tayari wa Israel...
12 Reactions
28 Replies
2K Views
Marekani yasema kuwa imekubaliana na Ukraine kuondoa vifaru vyake vya Abram kwenye uwanja wa vita na Urusi huko Ukraine. Uamuzi huo wa kuondoa vifaru hivyo vinavyodaiwa kuwa ni namba moja kwa...
8 Reactions
11 Replies
2K Views
Walidhani ni madini kwa jinsi yalivyoonekana kwa nje kumbe ulikuwa no mtego. Never trust anything on walking around.
3 Reactions
18 Replies
2K Views
Usiku wa Jumamosi, tarehe13 April 2024, Iran iliishambulia Israel kwa makombora mbalimbali na drones 300, huku mitambo ya Israel, Marekani, Uingereza na Jordan, ikidaka zaidi ya 99% ya makombora...
10 Reactions
86 Replies
5K Views
Uturuki imetoa Hati ya Kimataifa ya kukamatwa kwa Mtoto wa Rais wa Somalia, Hassan Sheikh Mohamud, baada ya kudaiwa kumgonga msafirishaji wa pikipiki, ambaye alifariki baadaye. Ripoti ya Polisi...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom