Hiyo ndio taarifa iliyopokelewa kwa furaha na nchi zote za Kiarabu
Kwamba katika swala la Mipaka Marekani yuko na Wapalestina na katika swala la Mataifa Huru Mawili pia Marekani wapo na...
Kiongozi Mkuu wa Hamas yuko mubashara Al jazeera tv akiongea na Dunia nzima
Amesema ICJ wanahimiza Vita isimame nasi tupo tayari kutii
Aidha amesema Gaza patakuwa ndio kaburi la Ndoto za...
China imeimbia Iran iwajibike kuzuia mashambulizi ya Wahouthi wa Yemen huko katika bahari nyekundu au vinginevyo uhusiano wao wa kibiashara utaharibika.
China ndiye mnunuzi mkubwa wa mafuta ya...
Habari wakuu.
Mwishonimwishoni mwa mwaka 2023 NATO walilalamika sana kwamba wanajeshi wa kujitolea wa Wagner waliokuwa nchini Ukraine alafu wakapelekwa Belarus walipotea ghafla mbele ya macho ya...
Huyu Mzee amekuwa kero katika kuhusika destabilizing Serikali za jirani zake.
Kama haitoshi ametuhumiwa kujaza mashushu wake Kila Kona, kinachomshinda kwasasa amepima moto anaona hawezi directly...
Rais Joseph Boakai, (79) alishindwa kumaliza hotuba yake baada ya Uapisho ambapo aliongea kwa dakika 30 na kupata changamoto iliyomlazimu kupewa msaada kuondoka kwenye jukwaa wakati wa sherehe ya...
Niliwaambia tokea mwanzo kuwa Israel hawaiwezi Hamas kiko wapi?
Malengo yalikua ni kuifuta Hamas jee wamefanikiwa?
Malengo yalikua ni kuiteka Gaza yote kwa muda wa wiki tatu tu kiko wapi...
Waandishi wa habari wametangaza kusitisha kuripoti habari zozote zinazohusu Waziri wa Uvuvi, Mavis Hawa Koomson, kutokana na shambulio dhidi ya Mwandishi wa Habari wa Kituo cha redio na Watu ambao...
Tamko kwamba Marekani haina tena pesa kuisaidia Ukraine limekuwa ni la wazi na hata taifa hilo limesema jukumu la kuendelea kuisaidia Ukraine kupigana na Urusi imewaachia wenzake 50 wafanye hivyo...
Mahakama mjini Lagos Nigeria inatarajia kusikiliza kesi iliyofunguliwa na mwanasheria dhidi ya Benki Kuu ya Nigeria akitaka kuondolewa kwa maandishi ya kiarabu kwenye fedha za nchi hiyo.
Malcolm...
Tayari Felix Tshisekedi ameanza kuonyesha Dalili ya kushindwa kwenye kampeni hizi.
Tayari sheria ya nchi yetu imeamuru kuwa Moise Katumbi ni mkongomani na ana haki ya kugombea urais wa nchi hii...
Hii ndio habari ya hivi punde kutoka makao makuu ya wizara ya Ulinzi ya marekani Pentagon. Marekani kwa muda wa zaidi ya miezi mitatu imekua ikishambuliwa katika kambi zake za kijeshi nchini Iraq...
Wafanyakazi wa mashirika ya misaada ya Marekani na Uiengereza wamepewa siku 30 za matayarisho ya kuondoka nchini Yemen kwenye maeneo yanayodhibitiwa na wanajeshi wa Houth.
Amri hiyo imetolewa...
Kiongozi wa upinzani nchini Zimbabwe Nelson Chamisa amejiuzulu, akisema chama chake "kimechafuliwa" na "kutekwa nyara" na serikali.
"Sitakuwa na uhusiano wowote na siasa za maji taka," alisema...
Marekani ndipo ulingo wa dunia ulipo kiuchumi, ni nchi yenye fursa kibao, watu kutoka nchi mbali mbali huenda huko kutafuta maisha.
Katika tathmini zilizofanyika kuona makundi ya watu wanaoingiza...
Kwa muda mrefu nchi ya Saudi Arabia imekuwa kimya tangu pale vita vianze rasmi kati ya Hamas na jeshi kubwa la Israel.
Takriban mwezi tangu vita vianze waliitisha mkutano wa mataifa kadhaa ya...
Salaam Watanzania wenzangu.
Ghana imekopeshwa na Uingereza vito vya dhahabu. Jambo la kushangaza ni kwamba dhahabu hii ndiyo waliyoiiba wanajeshi wa Uingereza wakati wa vita vya Ashanti...
Mwanzoni mwa mwaka huu benki ya Tanzania BOT ilitangaza kuwa itachukua hatua mbalimbali ili kutatua suala la uhaba wa dola ya Marekani uliotokana na upungufu wa sarafu hiyo kwenye akiba ya taifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.