Ndugu habari, sio mimi ndo naandika haya ila ni mabango ya raia wa Niger wakiwa wameyashikilia ambayo yanasema.
Wagner + Russia = freedom
Spotted poster in Niger
“Wagner + Russia = Uhuru”
One...
Wachambuzi wa mambo wamejikita katika upatikanaji Uranium huko nchini Niger kwa kusema France atalazimika kuingiza jeshi kusuport ECOWAS kuipiga NIGER kama jeshi la nchi hiyo halitomrejesha Rais...
VLADIMIR Putin's 20-year iron fist reign will be over within a year, a former MI6 spy claimed.
Christopher Steele, who ran MI6's Russia desk between 2006 and 2009, said the West needs to "prepare...
Chandrayaan-3's inatarajiwa kutua kabisa mwezini hapo Agosti 23, hilo likifanikia nchi hiyo itakuwa ni ya mwanzo kutua maeneo ya ncha ya kusini ya mwezi.
===
India's space agency has released...
Kama ulikuwa unajiuliza Kwanini UN,EU ,NATO, Nigeria na Marekani zipo so aggressive kwa kile kinacho endelea west Africa hasa Niger ngoja sasa nikuambie kwa ufupi.
Baada ya mzozo wa Ukraine na...
Umoja wa Mataifa umeipa ECOWAS Mwanga wa Kijani kuingilia kijeshi katika Jamhuri ya Niger, ikiwa ndani ya Wiki Moja, utawala mpya wa kijeshi nchini humo hautarejesha mamlaka ya urais kwa rais huyo...
Skip links
Skip to Content
LIVE
News
Niger’s military rulers ask for help from Russian group Wagner
The new military government seeks help from Wagner mercenaries against ECOWAS intervention...
[emoji298]️The Security Service of [emoji1255]Ukraine conducted a special operation in [emoji635]Novorossiysk Bay: the large landing ship Olenegorsky Gornyk was damaged.
The video shows how a...
PHOTO: RUSSIAN AIRPORT OF VNUKOVO
The Russian airport of Vnukovo was closed for takeoff and landing on the afternoon of 6 August, allegedly due to "dangerous targets" in the sky.
Source: Russian...
Sasa mziki unaenda kufungwa nchini Niger, je, wanajeshi waliopindua watatoboa?
====
Pia soma: Viongozi wa ECOWAS watoa Wiki Moja kwa Jeshi la Niger kuachia madaraka
Bunge la Seneti limeomba Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi, ECOWAS, Rais Bola Tinubu na viongozi wengine wa eneo hilo kuchukua tahadhari wanaposhughulikia mkwamo wa...
Ukraine iliwaonya kuwa kuzuia usafirishaji wa mazao kutahusu meli zote.
Ukraine wameonesha uwezo maana ni siku 2 drone za majini zimeweza haribu meli 2 ambazo ni za muhimu.
Meli hii iitwayo SIG...
Basi dogo lililokuwa limewabeba watu waliokuwa wakienda sokoni nchini Morocco limetumbukia kwenye korongo leo Jumapili, na kuua watu 24 katika mojawapo ya ajali mbaya zaidi za barabarani katika...
Serikali ya Iraq leo Agosti 6, 2023 imetangaza kuwa inasitisha matumizi ya mtandao wa kijamii wa Telegram kote nchini kwa misingi ya kulinda "usalama wa taifa", hali iliyosababisha ukosoaji kutoka...
Mwanaharakati #AlexeyNavalny ambaye amekuwa akipinga waziwazi utawala Rais #VladimirPutin, alikuwa akituhumiwa kuunda na kufadhili genge lenye itikadi kali na kuendesha uasi dhidi ya Serikali...
Russia said Saturday it scrambled an Su-30 fighter jet to "prevent a violation of the Russian state border" by a U.S. Reaper MQ-9 military drone over the Black Sea.
"As the Russian fighter...
Rais Putin wa Russia ameahidi kutoa Nafaka bure kwa Nchi za Africa zilizoonyesha Ushirikiano
Katika Mkutano wa Russia na Afrika Tanzania tuliwakilishwa na Waziri mkuu mh Majaliwa aliyehudhuria...
Mtoto huyo wa kike aliachwa kwenye kiti cha nyuma cha gari na bibi yake ambaye alienda kufanya kazi.
Polisi wa New York wameeleza kuwa bibi huyo mwenye umri wa miaka 54 alisahau kumpitisha...
Muda wa kuongozwa na wazee Afrika umepita. Afrika Kama ni maskini leo ni hawa wazee ambao walizaliwa 1940-1976, baba zao ambao ni babu zetu walipambana kupata uhuru wao wakashindwa kupambana...
imeelezwa kuwa uwezo wa Urusi kubadili mbinu katikati ya mzozo imeipa nguvu kubwa ya kupambana na silaha ilizopatiwa Ukraine ambazo zinatumia GPRS ili kupata shabaha zake.
Mwanzoni Urusi ilikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.