Wabunge wawili wa Japani wawasili katika mji wa Taipei katika kisiwa Cha Taiwan
Mwenyekiti wa zamani wa Tume ya Taifa ya Usalama wa Umma ya Japani Furuya Keiji anahudumu kama mwenyekiti wa kundi...
Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuwahudumia Watoto, UNICEF, limesema idadi ya watu wasio na uhakika wa kupata maji safi na salama imeongezeka kwa kasi katika Pembe ya Afrika, huku eneo hilo...
Mahakama nchini Iraq imezisimamisha shughuli zake ikiwa ni baada ya wafuasi wa kiongozi wa kidini mwenye ushawishi mkubwa Moqtada al-Sadr kuongeza shinikizo lake kutika kuvunjwa kwa bunge...
More monster than man,Fauci pushed out or
is he stepping down voluntarily?
Weeks earlier in July, he said the following:
“By the time we get to the end of the Biden (regime’s) term, I feel it...
Nancy Pelosi amechana nakala yake ya Hotuba ya Rais Donald Trump mara tu baada ya Rais huyo kumaliza kuhutubia
Rais Trump alitoa hotuba kuhusu ‘State of the Union’ Bungeni mbele ya Wabunge...
Hawa ndio viongozi ambao watagombea uchaguzi Congo
Moise Katumbi, huyu ni mpenda maendeleo na amani
Felix : Huyu ni kiongozi sijui sifa zake nyingi ni zipi ila kiufupi yeye ndio mkongomani...
Baada ya Milipuko mfululizo na kuwepo taarifa daraja linaloiunganisha Crimea na Urusi litashushwa na sigara muda si muda livushe warusi kupitia chini ya Bahari Kurudi kwao
Imeripotiwa siku ya...
Katibu Mkuu wa Makao ya Watawa, Zita Ihedoro, amesema watawa hao wanne walikuwa wakisafiri kutoka Jimbo la Rivers kwenda jimbo la Imo kwa ajili ya Misa ya shukrani.
Tukio hilo linakuja ikiwa ni...
Russia anazidi kushinda kwenye vita, kisiasa na kiuchumi. Majarida mbalimbali maarufu yanaripoti mauzo ya mafuta yanazidi kukua kila siku huku wanunuzi wakubwa ni nchi za ulaya.
Tunakumbuka...
Gavana wa Jimbo la Indiana Nchini Marekani, Eric Holcomb ameitembelea Taiwan licha ya vitisho vilivyotolewa na China kwa Gavana huyo kutembelea kisiwani humo.
Gavana huyo anakuwa Gavana wa Kwanza...
Urussi wameishutumu Ukraine kwa kuhusika na mauaji ya mtoto wa Alexander Dugin nguli wa siasa za kijamaa ambaye ndiye anayeaminika kuchochea vita vya Ukraine, huyu mwamba kama humjui alishawahi...
Ndipo inafahamika tu CIA na MOSSAD nadhani ndio tasisi za Intelejensia zenye nguvu kwasasa Duniani
KGB imepambwa sana
Tunaona siraha za West ambazo zimeingizwa Ukraine na impact yake kubwa...
Mgombea Urais wa Muungano wa Azimio la Umoja One Raila Odinga na Mgombea Mwenza Martha Karua leo Agosti 22, 2022 waliwasilisha ombi katika Mahakama ya Juu, wakitaka kupinga matokeo ya Uchaguzi wa...
Wizara ya mambo ya nje ya Marekani imeonya kuwa Urusi inaweza kuzidisha mashambulizi dhidi ya miundombinu ya kiraia na vituo vya Serikali katika siku zijazo
Matukio makubwa kaka mji mkuu wa Kyiv...
Mbali na askari hao pia, Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini humo, Jenerali Jorge Luis Vargas ameagiza Kanali wa Polisi Benjamín Núñez atafutwe na akamatwe kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya vijana...
Watoto 1,000 Nchini Ukraine wameuawa au kujeruhiwa vibaya tangu kuanza kwa vita baia ya taifa hilo na Urusi, Februari 24, 2022.
Shirika la Umoja wa Mataifa Linalohudumia Watoto (UNICEF) imesema...
Maafisa wa Usalama wamesema takriban watu 12 wameuawa baada ya kundi la Al-Shabaab lenye uhusiano na wanamgambo wa Al Qaeda kuzingira na kushambulia Hoteli ya Hayat iliyopo Mji Mkuu wa Mogadishu...
Covid-19 was not an epidemiological event, it was a money laundering scheme.
“Manufactured pandemics are now mammoth investment opportunities that increase the wealth of billionaires and further...
Mamlaka ya udhibiti wa vyombo vya habari vya utangazaji ya Pakistan, PEMRA, imezipiga marufuku televisheni nchini humo kurusha matangazo ya moja kwa moja ya mkutano wa waziri mkuu wa zamani Imran...
Waziri wa zamani wa Guinea, Lounceny Camara (62) ambaye alifungwa jela akishutumiwa kwa ubadhirifu wa pesa za umma na utawala amefariki Dunia.
Utawala wa kijeshi uliomuondoa madarakani aliyekuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.