Julai 31 watu wa kabila la Wadong katika wilaya inayojiendesha ya makabila ya Wamiao na Wadong mkoani Guizhou China, waliandaa shughuli mbalimbali ili kusherehekea Sikukuu ya Xinmi.
Leo ndio leo msema kesho mchawi,
Zaidi ya watu laki tano wanaiouatilia roupe/safari ya Pelosi kuelekea Taiwan ambapo China imekemea vikalh hatua hiyo kwa kurusha ndege za kivita kuizunguka Taiwan...
MAENDELEO ya DUNIA kiujumla yamechangiwa na MAENDELEO ya nchi mojamoja,katika MAENDELEO hayo ya dunia marekani amechangia Sana dunia kuwa Bora,kama kungekuwa na Tuzo ya dunia basi marekani...
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky ameishukuru Marekani kwa msaada mwingine wa kijeshi na kusema kwamba msaada kutoka Washington unaileta Kyiv karibu na ushindi.
"Asante kwa Rais wa Marekani kwa...
Baada ya rusian kupelekewa pumzi ya moto nilijua mbabe chinese atasimamia usawaziko wa mambo hapa Duniani.
China ni taifa linalojinasibu kwa nguvu za kijeshi Duniani na nilijua ni ya kwanza. ya...
Pelosi receives medal of honor
Taiwanese leader praised the US House Speaker for her stalwart support of the island.
“The speaker’s courage and actions are deeply inspiring and touching,” Tsai...
Kumekucha. Mambo yanazidi kunoga.
Msemaji wa Waziri wa mambo ya nje wa China Bwana Wang Wenbin ameionya Marekani kuwa endapo Nancy Pelosi (US house speaker) atafanya ziara ya kuitembelea Taiwan...
Ziko nchi ambazo haziridhishwi na sera za Marekani na Magharibi kuhusu mataifa Yao. Tanzania inasema ni nchi ya kijamaa huu ndio wakati wake wa kuonyesha kuunga mkono wajamaa wenzake kokote waliko...
Taiwan inasema imeshuhudia ndege 38 zikiingia kwenye eneo lake la ulinzi
2 Oktoba 2021
Uvamizi huo wa Ijumaa uluihusisha ndege za kivita aina ya jet J-16 jets (kama zinavyoonekana kwenye picha...
Marekani iko katika vita ya kiuchumi na kijeshi na China lakini haiko tayari kutumia mikono na damu ya Wamarekani, kama ilivyokuwa kwenye vita ya kiuchumi na kijeshi na Urusi lakini haikuwa tayari...
Mashirika mengi ya usafiri wa anga ulimwenguni yanatumia sana ndege zinazotengenezwa na either Boeing ya Marekani au Airbus ya Europe. Ni kwanini? Ina maana nchi nyingine kama china, Russia, south...
Julai 31 ndege ya abiria aina ya C919 iliyotengenezwa na China ilifanya safari ya majaribio kutoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Beijing Daxing kwenda mji wa Guilin, ili kupata hati...
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky ameishukuru Marekani kwa msaada mwingine wa kijeshi na kusema kwamba msaada kutoka Washington unaileta Kyiv karibu na ushindi.
"Asante kwa Rais wa Marekani kwa...
Mtifuano baina ya viongozi wawili wa mataifa ya DRC na Rwanda ambao mpaka sasa unasabishwa na madai ya serikali ya Congo kuishutumu Serikali ya Rwanda kuivamia Congo na kupora Mali zake kupitia...
Kim Jong-Un amemwambia Biden kuwa North Korea ipo tayari kuingia mzigoni (vitani) na Marekani na kibaraka wake South Korea. Amesema kuwa makombora yake ya nyuklia yapo tayari kuiangamiza Marekani...
Waziri Mkuu wa Somalia Hamza Abdi Barre ametangaza kuteuliwa kwa Mukhtar Robow (55) kuwa Waziri wa masuala ya Kidini, hatua inayotajwa inaweza kusaidia kuimarisha vita dhidi ya Waasi nakuzuia vita...
Ndege iliyombeba Spika wa Bunge la wawakilishi la Marekani, imeondoka Malaysia, itapita anga Indonesia, itaelekea anga la Phillipines, ikifika Phillipines itasindikizwa na ndege za jeshi la...
Hicho ndicho anachosema sema NASA.
Hii ni baada ya rocket buster yake LONG MARCH 5B kushuka pasipo mpangilio maalumu, na pasipo taarifa.
Hii ni hatari manaa inaweza kuharibu mali za watu, au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.