Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Habari zenu wana jukwaa la Madaktari. Napenda kufahamu gharama za kufanyiwa huduma tajwa hapo juu sababu jino langu lilizibwa hivi karibuni so nahitaji huduma hiyo maana nimeanza kusikia maumivu...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Hello JF, Bado naendelea kutafuta mambo ya vichaa/wenye matatizo ya akili na ndugu zao Leo ningependa kujua kutoka kwa wanajamii wote au watu specific waliowahi kuuguza mtu mwenye kichaa...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Ndugu zangu, Nipo/ tupo katika kipindi kigumu sana kama familia, dada yetu aligundulika kuwa saratani ya Ini, damu na titi. Vyote hivyo vipo katika stage ya mwisho na mbaya sana na Madaktari...
11 Reactions
55 Replies
7K Views
Summary Background Antiretroviral therapy (ART) cannot cure HIV infection because of a persistent reservoir of latently infected cells. Approaches that force HIV transcription from these cells...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari wakuu, Straight to the point tangu jana nilikua napata maumivu makali sana kwenye maeneo yashingo/ bega la kushoto. Nilihisi labda pengine nililala vibaya nikaamini maumivu yatakata...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Maambukizi katika mfumo wa uzazi wa mwanamke kwa kitaalamu Pelvic Inflamatory Diseases au kwa kifupi PID, ni moja ya matatizo ambayo huwaathiri sana wanawake. Kwa kawaida maambukizi haya huusisha...
4 Reactions
2 Replies
6K Views
Habarini madaktari wa Jf na wanajamii wote kwa ujumla? Kuna kitu ambacho nimekuwa nikijiuliza kwa muda mrefu na ninafikiri hapa ninaweza nikapata elimu. Katika pitapita zangu za mitandanoni...
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Sleep Apnoea ni tatizo linalowatokea hasa watu wanene kupitiliza (obesity), wengine wanarefer kama Obstructive Sleep Disorder (OSD). Statizo hili ni la kutokulala vizuri, ukiwa umelala, neck...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Nina mjukuu wangu wa kiume ana umri wa miaka 4 na wiki 2. Ana tatizo la kufunga choo anaweza kaa wiki nzima bila kwenda haja kubwa pamoja na kumpa matunda kama mapapai. Hili jambo linanitisha...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Wakuu habari, Naomba kujuzwa juu ya ujauzito huu scenario iko hivi mpenzi wangu nimekutana nae ijumaa tukafanya yetu lakini jumatano kapima majibu yametoka ana mimba. Nimebaki njia panda...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Kwa mujibu wa mtaalamu wa matibabu ya wanyama ni kwamba Mnyama aliyehasiwa huwa anaishi muda mrefu zaidi. Tunafahamu binadamu ni Mnyama pia, vipi akihasiwa anaweza kuishi muda mrefu zaidi? Sent...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Hello JF, Ningependa kujua kama ushawahi kupata tiba, kati ya hizo mbili (Tradition Medicine au Modern Medicine) Ipi ili work? Au zote? Kipi kilichokusukuma utumie kimoja wapo? Nini...
0 Reactions
9 Replies
37K Views
Habari wakuu! Mimi nina ujauzito wa miezi minne lakini tumbo chini ya kitovu limekuwa linaniuma sana hasa nikiwa nainama! Nimeenda hospitali wakasema ni kawaida tu. Naombeni ushauri wenu je...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Habari zenu jamani, Poleni na majukumu ya kulijenga taifa letu la Tanzania. Niende kwenye Mada nakumbuka yapata miezi kama 8 nyuma nilikuwa nimepoteza hisia katika Uume wangu yaani jogoo anawika...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Asaalam Wadau natumaini mmeamka salama. Naomba msaada ufuatao Mara nyingi Mke wangu anapomnyonyesha Mtoto anakuwa akipaliwa na hapo wala hakamuliwi maziwa zaidi ya kushikiliwaa tu titi ila ndo...
0 Reactions
3 Replies
8K Views
Unaweza kufikiri ni simulizi tu pengine ya kusadikika. Lakini ni uhalisia. Tujikumbushe. Unaikumbuka familia ya Matumla iliyosheheni wanamasumbwi ikiongozwa na Rashid Matumla aliyetamba ndani na...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari za asubuhi wadau. ninajikita moja kwa moja kwenye uzi, Nina shida moja ya kupiga chafya hali inayopelekea kuhisi muwasho sehemu za kifua, mgongoni na sehemu ya shingo kwa nyuma, na kasi...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Habari kama kichwa cha habari kilivyojieleza napata maumivu makali katika maungio ya bega langu la kushoto. Je, kuna mtu anafahsmu kuhusu hili na je kuna mtu anafahamu dawa. Msaada Please. Sent...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
kwa miezi mitatu imekuwa katika wakati mgumu mwanzoni nilijua ni kawaida litakwisha lakin hali inazidi kuwa mbaya. Nimekuwa kama napoteza fahamu kwa muda fulani kwa sekunde kadhaa, afu zinarudi...
2 Reactions
30 Replies
4K Views
Back
Top Bottom