Rapa kutoka nchini Marekani Lil Uzi ameonyesha kwamba pesa kwake 'sio kitu' kwa kubandika kipande cha madini ya Almasi(Pink Diamond) usoni cha thamani ya Dola za Kimarekani milioni 24 ($24Million)...
Hapo Ulipo Wewe Usihisi Kama Mungu Kakusahau Kuna Watu Wanaishi Maisha Ya Shida Na Dhiki Sana...Shukuru Kwa Yote Hasa Kwa Zawadi Kubwa Ya Uhai.[emoji120]
Safi Sana JPM,
Maendeleo kila kona[emoji106]
Hii ndio Namna njema ya kuwakumbuka wazalendo wetu wanaolipigania taifa hili kwa jasho.
Atakaebisha hapa [emoji116] Atakua na lake jambo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.