Jamii Photos

A collection of Community Photos brought to you by our members. Enjoy your stay!
13 Reactions
23 Replies
5K Views
Lile tukio la mzee wa story book kuganda hewani pasipo miguu kugusa chini mnalitafakari vipi Wana JamiiForums?
1 Reactions
19 Replies
6K Views
Tazama, jinsi ilivyo vema, na kupendeza, Ndugu wakae pamoja, kwa umoja.(Zaburi 133:1)
5 Reactions
18 Replies
2K Views
Habariza kuamka, Natumai nyote hamjambo, ule msimu wa maraha umewadia. Kasie Mahaba nalipelekesha gurudumu la Mahaba mpaka mahaba yaseme imetosha. Niko zangu kwenye kochi nimevaa kiblauzi bila...
10 Reactions
66 Replies
5K Views
Kama una picha za wenye mapenzi ya kweli tupia hapa. Miongoni mwa picha nilizotuma kuna wazee ambao wamefikisha zaidi ya miaka 60 ya ndoa zao. Naomba ziwe za wazee ambao wamekaa muda mrefu sana...
7 Reactions
48 Replies
6K Views
Nimemiss maisha yale tuliyokulia (eneo letu) obvious watu wengi tumekulia mazingira haya kutoa vijana wa dar. Unawezakuta huyo dogo mlangoni ndio mtoto wa kwaza analinda wadogo zake na nyumba...
12 Reactions
101 Replies
9K Views
Inakuwaje wanaJF! Mmatumbi akikamata hela bana. Hii rangi yetu ya mkaa ikishika hela inakuwa hatarii. Niga Aisee bwana!
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Wadau ebu Leo tujikumbushe usafari zamani aisee tumetokaka mbali sana he hii mnaweza kuikumbuka watu wa Arusha na Mbeya hapo Segera.
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Kakikukamata kanaanza kula kichwa ukiwa bado mzima. Jike ukimaliza kumate naye anakukamata na kuanza kukutafuna kichwa. Hivi ingekuwa kwa watu ingekuaje? Ukimaliza unatoka mbio za ajabu!!
1 Reactions
28 Replies
4K Views
naona kama inafoka huku nyenzake pembeni zinamuangalia, naona kama naifananisha .... lakini naishia kunyamaza,
15 Reactions
23 Replies
4K Views
Hiki kijiji kinaitwa Ifumbo. Kipo wilaya ya Chunya mkoa wa Mbeya. Kimepangwa vizuri sana kuliko sehemu nyingi za jiji la Mbeya. Watu wa mipango miji na vijiji vingine viende vikajifunze kabla...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
This is how we do
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Twende kazi
6 Reactions
53 Replies
7K Views
Picha zilizochongwa za Marais wa Afrika Mashariki pamoja na first lady wa Kenya zikiwa zimepamba Bustani moja mjini Nairobi
9 Reactions
29 Replies
6K Views
Juzi nimeletewa mzigo wa senene kutoka nyumbani, senene watamu sana na wana heshima kubwa sana kwa kabila letu. Nimekumbuka enzi zile nipo Kagera nilikuwa naenda kuwakamata kwa ajili ya kitoweo...
5 Reactions
17 Replies
4K Views
Ni mwanadada Milo Moire, kutoka nchini Uswisi,alizaliwa mwaka 1983,alihitimu shahada ya uchoraji na upakaji rangi mwaka 2002,pia amehitimu shahada ya Saikolojia kutoka Chuo kikuu cha Bern,huyu ni...
3 Reactions
47 Replies
5K Views
Back
Top Bottom