Natumai wazima kabisaaa.
Kumekuwa na tabia hii kwa wanawake wengi sana, inapotokea umepata namba labda ya classmate wako wa kike, rafiki unaemjua, au demu unataka kupiga sound,,,
Yaani...
Anauza nyumba za ma box kwa 2000 tumpe push kajanja kana kipaji. Huyu atakuwa fundi imeisha hio kibongo bongo ana idea hamna hata haja ya kusoma engineering
Ukiangalia katika siasa zetu na mambo mengi hii nchi inayopitia nadhani hii picha inaweza kua na ujumbe ambao kila mtu anaweza kuutafasiri anavyoweza lakini CCM nadhani pia mnaweza jifunza kitu hapa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.