Warembo watatu wanaonekana kwenye video ya ngoma ya TygasMake it Nsty wanadai chuchu zao zimeonekana bila ruhusa yao.
Alissa Rae Ross, Azia Davis, na Elizabeth Velasquez wamefungua mashtaka...
Choo cha shule ya msingi Lipangala, huko sehemu mojawapo ya Ludewa. Nashangaa hata kusafisha eneo linalozunguka choo ni:
Mbunge achangie?
Serikali ipangie bajeti?
Wazazi wachangie?
Walimu...
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali Padri Ambros Mkenda wa Kanisa Katoliki la Mpendae mjini Zanzibar anayeuguza majeraha katika taasisi ya mifupa ya Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (Moi)...
"NAWAPENDA MARAFIKI WA KIUME MAANA HAWANA MAJUNGU KAMA WANAWAKE".....QUEEN DARLEEN
STAA anayefanya poa na ngoma Kokoro, Queen Darleen, ameuambia mtandao huu kuwa anajisikia raha kuwa na...
Kila mtu ambae amefanikiwa kwa kupanda mwenyewe kutoka chini kwenda juu lazima anasimulizi la maisha yake ambalo lina mabonde na milima ya kushangaza kidogo, lakini inavuta usikivu na hisia sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.