Ng'ombe kagoma kuchinjwa kwa ajili ya harusi leo hapa MPUI Sumbawanga na kuamua kupanda juu ya paa la nyumba ya wazazi wa Bwana harusi,usiulize kapandeje kule juu, hapa ni S'wanga bwana!
<tbody>
Kuna watu wameomba niwaelekeze Temeke nilipo naomba ufuate maelekezo nyoosha na hii barabara moja kwa moja
</tbody>
<tbody>
Mbele utakuta mama lishe wanapakuwa chakula...
Kazi kweli Huyu aliye shika jembe ni mkuu Boflo na mwengine aliyeshika jembe kwa nyuma ni mkuu Mbuzi Mzee na hao wengine ni ndugu zake Mkuu boflo......................Kazi kweli jamani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.