Jamii Photos

A collection of Community Photos brought to you by our members. Enjoy your stay!
Eti wajuba..kama hizi mamsi zipo LIKIZO lile tishio la miaka 30 linakua bado linatuhusu?? @NgarenaroBoy.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kweli Messi alistahili kumuweka nafasi ya Tano? Kigezo cha huyu bi dada kupiga kura yeye kama muakilishi wa media kwa Tanzania ni nini?
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Katika ule uzi wetu pendwa MMU
4 Reactions
6 Replies
3K Views
Visionaries always think big!
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Miaka ya 1960 baada ya uhuru mpaka miaka ya 1970 bidhaa za nyumbani kama mafuta ya kujipaka yalikuwa yanafungwa katika vifungashio vya glass. Kuna wakati bidhaa za nje hazikuingia kabisa...
3 Reactions
19 Replies
4K Views
Huu mti ni aina ya Cactus kama sikosei, tangu ulipopandwa mwaka 1999 sikuwahi kuuona ukitoa maua, hadi leo ndio nimeona maua yake. Tunatakiwa kuuondoa ili kupisha ujenzi, kuna mtu anautaka nimuuzie?
0 Reactions
18 Replies
4K Views
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Katika ubongo wa mwanadamu kumejawa na kila aina ya vipaji vya kufikirisha sana, Hasa pale mtu anapochukua mda wake mwingi sana katika kuutafakari uumbaji wa Mungu na kuamua kufanya kile ambacho...
6 Reactions
22 Replies
4K Views
Angalieni wenyewe. Hata neno Kigamboni wameandika Kingamboni. Ndo kina nani hawa jamani?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hebu na tugeukie tamaduni desturi na mila za makabila mbalimbali hapa duniani kwa njia ya picha. tuwemo. Hawa ni mabikra wa kizulu. Hawaoni shida wala taabu kuachia vifua wazi ilimradi sherehe...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom