Jamii Photos

A collection of Community Photos brought to you by our members. Enjoy your stay!
Basi kuna watu wakisikia tangazo ni bei chee huwa wanakurupuka tuu. Kuja kutahamaki ni iPhone ya kichina pale maduka ya makumbusho.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
JOKE OF THE YEAR! "Just imagine if Tanzania won, papers in Dar es Salaam in the morning would all write, 'UHURU ASHINDWA NA POMBE'." - President Uhuru Kenyatta
6 Reactions
41 Replies
5K Views
Kuna comedy inaonyeshwaga kwenye ktn inaitwa visanga vya makufuli humo wanamuigiliza Mh.Rais humo wanamuigiza mheshimiwa akifanya vituko akilenga mbalamwezi na manati,mara apande kwenye mti pia...
3 Reactions
82 Replies
10K Views
Wakuu hapa chini ni picha za mji mkuu wa Seoul moja ilipigwa mwaka 1961 ikionesha mto unaopita katikati ya ya mji huo. Wakati huo mji huo ulikuwa mchafu sana kama Msimbazi yetu ya Sasa. Na...
2 Reactions
12 Replies
3K Views
Walicho sema wahenga wala hawajakoseya... Tundu la choo linaona Mengi. Muwe na usiku mwema popote mlipo.
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Baada ya utata wa muda mrefu,uliojitokeza baada ya watu kudai mkuu wa mkoa wa D'salaam jina lake halisi ni Daud Albert Bashite na sio Paul Makonda kama anavyojitambulisha. Hatimae Daud Albert...
1 Reactions
11 Replies
4K Views
Wasaalamu ndugu na jamaa nimeipakua hii video kwa jinsi ilivyo nigusa kwa maisha yetu tulionao tulikotoka na tulionao kwenye jamii yetu nini mtazamo wako.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Inapotokea hata vijana wetu ambao ni icon ya taifa wanawaza ushirikina tu, tutarajie vipigo hadi mwisho wa dunia...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
[emoji13][emoji13][emoji13]
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Naangalia jinsi huyu mkenya anavyoiongelea Tanzania hapa najiuliza hivi Tanzania hatuna watu pale Multchoice? Japo la pili Taswira ya Taifa inachafuliwa sana na wanasiasa uchwara,! Namsikia...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Sijui tuna kwama wapi
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Utafikiri ni dada ake mr.blood diamond
4 Reactions
47 Replies
6K Views
Je Kuna Ukweli Wowote Hapa? Wana JF mnasemaje? Tutafakari kwa kina.
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Back
Top Bottom