Rais wa Russia akiwa na Samora Moises Machel enzi ya uhai wake akiongoza mapambano ya kuwaondoa wareno. Kuna kitu cha kujifunza hapa kuhusu historia ya nchi zilizoko kwenye muungano wa SADC.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza wakuu nimejaribu kuumiza kichwa kujua hii picha ina maana gani nimeshindwa nimeona niilete huku najua nitapata jibu haya kwa aliye elewa tafadhali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.