Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...
jamani ivi level hii ya akina myweather ndio ile ya mabingwa akina lenox,au tyson?? ivi "mike iron tyson" akisema aombe pambano na manny pacquiao au myweather wanaweza kusubutu?? kwan bingwa wa...
0 Reactions
31 Replies
7K Views
Ndugu Wanasimba, Leo nikiwa katikati ya Jiji la Dar karibu na ofisi za gazeti letu JAMHURI nimekutana na mjadala ulionitoa jasho. Mjadala wenyewe unahusu mchezo wa leo kati ya Yanga na Azam...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
naamini uongozi uliomakini wa yanga watumie sheria na kanuni za mashindano za fifa zinazo elekeza kama cecafa hawana utaratibu wa kushiriki wasishiriki kabisa wasiburuzwe na dikteta musonye wache...
0 Reactions
1 Replies
743 Views
wanajamvi naomba msaada wa kitakwimu au uzoefu.kwa mfano wa mechi ya kesho kati ya barca na bayern,kati ya wachezaji wa barca kwa kuwa wana ufaham mfumo wa ufundishaji wa guardiola au guardiola...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Gravity Force provides various unique sports and fun activities to their customers of all ages like Dodgeball, Free jump, Parties, Fitness, Toddler takeover. For more information please visit our...
0 Reactions
0 Replies
585 Views
Kesho saa 16:00 hapo uwanja wa taifa je simba kupanda Ndege ama azam kuendelea kuwakilisha taifa kwa msimu wa tatu,kinachonifurahisha Yanga kuwa katikati ya mtego maana rais wa timu manji aelewani...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ilipromotiwa sana kwamba atayeshinda kwenye pambano kati ya matumla na mchina ataenda kupigana kwenye pambano la ufumbuzi kati ya Man Pacquiao na Floyd Mayweather ila naona kimya, au ndo...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Naam bila shaka, naomba tukutane tena katika muendelezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambapo Azam FC akiminyana na Simba sc hivi leo. Vikosi vya timu za AZAM FC na SIMBA S.C vinavyoanza leo; Azam...
0 Reactions
184 Replies
24K Views
Hawa yeboyebo kudadadeki zao siwapendi wiki yote hii,ubingwa wenyewe wamebaatisha tu,msuva meenyewe kafunga magoli ya kuotea....azam piga yanga bao 1 tu niburudike mm
2 Reactions
46 Replies
4K Views
Msifanye usajili mkubwa kiviiile,na wachezaje muhimu wasiachwe....haswa mbuyu twite, ngasa nk.timu ikibaki hivihivi tutachukua ligi kuu kabla ligi haijafika katikati mwa msimu
1 Reactions
25 Replies
3K Views
Kweli pesa sio kila kitu. Azam campany imewekeza vitu vingi sana na kimoja wapo ni soka ambapo ilijitahidi kutushawishi sie tuliovunjika moyo tuamke na kuiona ni mkombozi. Walipochukua ubingwa...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Bondia kutoka Ufilipino Pacquiao bado anakibarua kigumu hapo Nevada baada ya kutoa taarifa za uongo katika hali yake kiafya kwani alikuwa na majeraha katika bega lake aliyopata wiki tatu kabla ya...
0 Reactions
2 Replies
810 Views
Kama Yanga kimataifa angemtoa Etoile Du Sahel angekutana na Raja ya Morocco kwenye kundi A kwenye draw ya CAfCC iliofanyika muda mfupi uliopita...TUJIPANGE MSIMU UJAO KWA MASHINDANO MAKUBWA ZAIDI...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Klabu ya Dar es Salaam Young Africa FC imetamka thamani ya kiungo wao mashuhuri kabisa yaani saimon Msuva kuwa ni Shillingi Million mia 750/= Kutokana na Tetesi zinazosikika kwamba kuna baadhi ya...
0 Reactions
182 Replies
16K Views
Wadau, hii ni taarifa iliyovuja kutoka vyanzo vya kuaminika kuwa Bondia wa Kifilipino, Manny Macquiao aka PACKMAN ameshindwa kwenye pambano lake na mpinzani wake Floyd Mayweather kutokana na...
1 Reactions
29 Replies
4K Views
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI - RELEASE NO. 66 TAREHE 05 MEI 2015VPL KUENDELEA KESHO Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara inatarajiwa kuendelea kesho kwa mchezo mmoja utakaopigwa katika dimba la...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu, nakumbuka wakati naanza kupata ufahamu wa soka hapa nchi, timu iliyokuwa ikinivutia ni Cosmopolitans baadae ikapotea kimya kimya. Tafadhari mwenye kumbukumbu nzuri ya hii timu atupie hapa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
After what some had hoped to be the "fight of the century" turned out to be, what some would want you to believe, the "bore of the century", I thought I should share some of my views. On the...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Mayweather vs. Pacquiao: the uber-bout that wasn't. The so-called fight of the century was pay-per-snooze, a complete waste of everyone's time and money - except in a boxing community now rolling...
0 Reactions
1 Replies
774 Views
Jukwaa hili leo nalivamia.Nataka kulitumia.Kulitumia kusemea jinsi nilivyoumia. Mtu aliyepigwa ndiye aliyetangazwa mshindi. Mshindi ameachwa. Mkimbiaji ulingoni ndiye mshindi! Meiwedha amepigwa na...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Back
Top Bottom