Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...
Hivi huu mchezo wenye mashabiki wengi duniani(soka) uligunduliwa na nan,wap,kwa nn uwe na wachezaj 11?
0 Reactions
0 Replies
916 Views
Tangu TFF ianze utaratibu wa kutangaza mapato uwanja wa taifa, mechi za simba zimekuwa zikiingiza fedha kidogo kulinganisha na Yanga, hata ukiudhuria mechi za simba utaona watu si wengi sana kama...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Jamal malinzi ukiwa kama member wa jf na jina lako limepita katika kuwania urais wa tff, sisi kama wana jf tunaomba utuambie vipaumbele vyako kama utapata ridhaa ya kuongoza mpira wetu, nadhani...
0 Reactions
0 Replies
869 Views
Yule kocha wa zamani wa kikosi cha senegal aliyekipeleka fainali ya mataifa afrika 2002 na robo fainali ya kombe la dunia bruno metsu amefariki dunia leo kwa maradhi ya kansa ya tumbo.. Source...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Yeahhhhhhhhh! Brazil, here we come!!!
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Live match Click the link http://www.feed2all.eu/watch/214451/1/watch-ghana-vs-egypt.html Update Dk 88: Ghana 6 Egypt 1
0 Reactions
10 Replies
2K Views
It may seem unfair to other leaders who have had a more passionate love for sports but Nyerere’s shoes remain too big fourteen years after his demise and over twenty five years after he stepped...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
New word in english dictionary "ozil" (verb) - to help, assist someone to do somethng.... Eg, moyez will ozil manchester united to finish on 4 place.
3 Reactions
18 Replies
4K Views
Liku kuu Tanzania bara inazidi kuchukua kasi tunaona timu Mpya kama Mbeya City ikiwatoa jasho vibonde wa ligi Upande wa pili tunaona Man City ya bongo (AZAM FC) ikiwa bado haijatoa taswira halisi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
katika mechi ya juzi lukaku romelu striker mdogo wa chelsea kaisaidia timu ya taifa ya ubelgiji kufudhu kwenda kushiriki kombe la dunia 2014 cha ajabu kocha wa chelsea jose mourinho haoni faida...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mishahara ya wanasoka wetu Tanzania10/10/2013 0 Comments Utafiti wa Mwanaspoti katika klabu zote 14 zinazoshiriki Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara umeonyesha kuwa klabu tatu; Azam, Yanga na Simba...
0 Reactions
3 Replies
32K Views
nilikuwa nasikiliza kipindi cha michezo Radio Free Africa(RFA) nikamsikia kocha wa Simba king kibadeni akimuelezea mchezaji wake Betram Mombeki mara baada ya mechi na Ruvu shooting akisema...
2 Reactions
22 Replies
3K Views
Baada ya ukame mzito wa medani anga za riadha ni muda mwafaka vijana wepesi wa bonde la ufa kupeperusha bendera ya taifa. Qatar, Marekani wameliona hili mapema tu.
0 Reactions
0 Replies
798 Views
Mechi zitakazooneshwa moja kwa moja (live) na Azam TV kupitia TBC1 wikiendi hii ni kati ya Simba na Tanzania Prisons itakayochezwa Jumamosi katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam na ile kati ya...
0 Reactions
75 Replies
7K Views
Timu ya Simba sasa ndo inakabiliwa na ratiba ngumu zaidi tangu ligi ianze tukifanikiwa kupata ponti zote katika mechi hizi bila shaka chereko chereko zitalindima mtaa wa msimbazi. Mechi...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Rage ataka Yanga wahamishiwe Mabwepande MWENYEKITI wa Klabu ya Simba, Ismail Aden Rage, amemtaka Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mecky Sadick kuhakikisha anawahamisha watani zao Yanga katika...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
kama ulikuwa hujui fitna za soka uwanjani, hebu tazama WCQ mechi kati ya ehiopia vs nigeria ujifunze kitu
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa wale wenzangu wapenda mpira wa kikapu sasa hivi tutajionea NBA BASKETBALL LIVE GAMES kupitia STARTIMES ambao wameongeza channel ya NBATV......kwa kweli inaonekana kwa kiwango cha juu sana,sasa...
0 Reactions
0 Replies
945 Views
Azam TV, Yanga walumbana Uwanja wa Taifa Dar Mpiga Picha wa Azam TV akiwajibika uwanjani VIONGOZI wa Yanga nusura wazuie Kituo cha Televisheni cha Azam kuonyesha laivu mechi baina ya Yanga...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
naomba kujua sheria za mpira wa wavu( volleyball) asante.
0 Reactions
0 Replies
857 Views
Back
Top Bottom