Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...
Mchezo bado ni bila bila azam fc 0 - 0 tusker fc
0 Reactions
123 Replies
7K Views
Kweye Kombe la Mapinduzi Zanzibar mwanadada akatisha uwanjani match ikiwa inaendelea. Nimeshanga kusikia Polisi kusema kuwa alikuwa mgonjwa wa akili na ametoroka Hospitalini, swali ameingiaje...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naona leo mzee mzima Del Bosque yupo ndani ya Goodison Park kumfuatilia Michu katika pambano la Everton vs Swansea.
0 Reactions
0 Replies
692 Views
Klabu mbili kubwa za soka hapa Tanzania za Simba na Yanga zinanishangaza kitu kimoja;Zinz mipango mingi mizuri ya kimaendeleo lakini mipango hiyo imeishia kwenye makaratasi tu kisingizio kikubwa...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Mchezaji wa kimataifa wa simba fc na Uganda ametemwa kushiriki kambi ya mazoezi ya simba fc iliyoko huko umangani Oman. Okwi hajaripoti dar mpaka leo hii na toka alipo-sign mkataba wa miaka...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kama kawaida undisputed messi the genius kaonyesha he's the great footballer the world has ever witness!! Kiukwel dogo anajua na hana mpinzan ktk sayari hii!...cr7 wenu atasubr sana kwa huyu...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Kundi la kwanza limeanza mazoezi chini ya Boban
1 Reactions
5 Replies
982 Views
Yanga imeendeleza wimbi la kupokea vichapo kutoka kwa timu dhaifu za Ulaya, na imepokea kipigo kingine cha bao 2-0 , safari hii ikifungwa na timu isiyojulikana kimataifa ya Emmen FC ya nchini...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
"Sasa nyinyi mnanishangaa nn,mbona mm ni mfupi kuliko wote kwenye familia yetu".
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Chelsea are beaten again at home by Swansea City by 2 goals to nil, kwa record, yeye ndio mwenye record mbovu mpaka sasa kuliko any other interim manager under Abramovich
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Bw. Miraji Mrisho Kikwete. Shirikisho la Ngumi la Kimataifa Africa (IBF/Africa) limemteua bwana Miraji Mrisho Kikwete kuwa Makamu wa Rais anayeshughulikia maendeleo ya vijana katika bara la...
0 Reactions
44 Replies
5K Views
Hii ni Barca ya ukweli... Ukianza kuwafunga hawa watu(Barca) wakati mchezo unaendelea, ni sawa na kuwachokoza nyuki kwenye mzinga wa nyuki, kutoka uwanjani unatoka na ulimi nje hoiii bin taaban!
0 Reactions
1 Replies
784 Views
kipindi kifupi kilichopita kuliokua na vurugu nying kuhusu ngasa kwena el mereihk ya sudan naamin.kukiwa kimya mpaka sas hiuku kila pande zikivutana .nimetembelea website ya club na kwenye...
0 Reactions
2 Replies
867 Views
HOTELI walifikia inaitwa FAME RESIDENCE LARA & SPA; Hotel ina Uwanja Mzuri wa MPIRA nimeshindwa kuchua PICHA zake.... Wachezaji wa Yanga wakiwa wamepumzika katika Uwanja wa ndege wa kimataifa...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Hivi hizi tuzo FIFA Ballon d'Or ni za Spain pekee?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Azam FC imeingia finali ya Mapunduzi Cup kwa mara nyingine, imeitoa Simba kwa penati ya 5-4, dk 120 zilimalizika kwa sare 2-2, magoli ya Azam Fc yamefungwa na Jockins Atudo pongezi kwa timu...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Dakika ni ya 43,mabao ni 2-2...mpira ni mkali kuliko maelezo.Madrid wako pungufu baada ya Adan kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 6.Uwanja ni Santiago Bernebeu
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Dk 45: Simba0-1Azam.
0 Reactions
75 Replies
8K Views
ivi edo kumwembe ana agenda gani na sammata,coz sammatta akifanya vizuri uwanjani mpaka kinshasa jamaa huwa anaenda na kumsifia,,,,na kupiga nae picha kumuandika kwa mazuri,,,,,,,akizingua...
1 Reactions
32 Replies
4K Views
Back
Top Bottom