Heshima zenu wakuu. Hope mko po. Kuna kawimbo fulani nausaka sasa nimesahau jina la aliyeimba. Some lines in it zinasema "naomba unisamehe, kosa nililofanya. Hakika mi binadamu, kokosea...
On the radio the other day, there was one of the all-time best comeback
lines ever. Note: This is an exact replication of National Public Radio
(NPR) interview between a female broadcaster and US...
Utasikia @cillo na Boflo wakiitana darling, dear, hubby nk.
Tena hapohapo utasikia Nazjaz, @charminglady na AshaDii wakimgombea MziziMkavu.
Yaani mapenzi ya humu ni full vagalanti kiasi kwamba...
Jamani vibaka wamezidi sana huku uswahilini kwetu hadi imekuwa kero. Wanaiba sana, kila siku ni matukio ya wizi wa kukata nyavu za madirisha usiku. Juzi wameniibia tena kwa mara ya tatu sasa leo...
internet ya bure 24x7 hadi chumbani lakini saa hizi MB50 za voda zinataka kukata sijui kama hii thread ntapost
siku nikichoka au nikiamka na ma hangover sizami class lakini huku chezeya bosi uone...
This thread is closed!
Nimeongia chit chat sikujua tittle imeshakaa na
Siwezi kufuta bila msaada wa mods!
Ousofia kalewa,thread closed!
Au acheni tu sridi itelezi ingiine ndani ya sridi...
ili wimbo unoge unahitaji kiitikio, kuna viitikio vya aina nyingi vya kuchekesha kuhuzunisha, tata na vingine vinakwaza
kuna hiki hapa cha fm academia ...utamu wa vanila eeh utamu...! Kinaniacha...
jamaa mmaja alivua nguo zote akaanza kkatza porin wanyama wote wakkmbia fis akamuliza simba had ww umekmbia smba akjbu yule mnyama n wa ajab anamkia mbele...........:israel:
Mpaka mh. Ruhazwe JR a.k.a ANKO LUNDENGA aje, tuendelee kulisongesha...Tuanze hatua za awali za mapendekezo ambapo unaruhusiwa kupendekeza majina matatu then unakaa pembeni. ANKO karocharocha...
Wakuu,nina bonge la stress,na miongoni mwa njia kuu za kumaliza stress ni kutukana.
Natamani sana kutukana,hivyo yeyote atakaye changia hii thread namporomoshea matusi.
Jamani wana jf hapana shaka mu wazima sana!
Nakumbuka kama miezi miwili au mitatu iliyopita huyu mwana jf mwenzetu aliwahi kuleta wazo la members kuweza kukutana walau hata mara moja kwa mwaka...
Jamaa kasimamishwa na
trafiki yuko hai spidi
mwanawani. Sasa ona
maongezi: Trafiki: Unajua kuendesha
kasi kiasi hicho ni kosa la
jinai? Jamaa: Najua lakini wala
sijali, kwani we unatakaje...
Kutokana na baadhi ya members kuwa na IDs ambazo ni unisex, naomba uweke hapa jinsia yako ili hii tabia ya ku-approach mwanaume mwenzako ife. Nadhani members mtalielewa hili nami naanza kwa kusema...
Eee Baba yetu uliye mahali pa juu palipoinuka, Ninakuja mbele zako kwa moyo wa ukunjufu, ninaukaribisha uwepo wako mahali hapa,ninakaribisha upendo wako mkuu utamalaki katika jukwaa hili, ninaomba...
Mfalme mmoja alitoa zoez kwa atakae vuka mto
wenye mamba atamzawadia/atamuozesha
bintie wa kike kabla hajamalizia kutangaza ghafla mmoja
akaingia majini akaogelea fasta hadi akavuka alipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.