madadali ni watu muhimu kwenye jamii ni kweli kwamba huwezi pata nyumba hapa mjini bila kupitia wao, au labda itokee bahati tu rafiki/ndugu yako anahama mahali akuunganishie, la sivyo utasaga meno...
Mwalimu sanaa aliagiza wanafunzi wake watumie maboksi waunde tv. Basi wanafunzi wote wakajitahidi wakafanya ivo.Ila wakati wa kukagua mwanafunzi mmoja wanaopnda kumtania sharobalo haku angaika...
naona kipindi cha kuchukua degree zetu kimewadia na mi mwaka huu ndio nachukua yangu so tunao graduate pamoja jitokezeni tuchukue zawadi na hongera zetu
Husband was seriously ill.
Doc to wife;''Give him health breakfast,be pleasant,and in a good mood, dont discus ur problems,no tv serial, dont demand new clothes&jewerls. Do this,after a year,and...
Kuna siku PAPA Benedikto
alikwenda kufanya shopingi,
akamwambia dereva wake, "Leo
nitaendesha gari mimi mwenyewe
na hakuna msafara, wewe kaa
siti yangu". Basi walipofika barabarani trafiki...
my dears nimebanwa na eu yani nataman kukimbia but mewamis saana hasa my beib judgement kwanza im sorry for any inconvinience has happened where ever u are pliiiz say something. N nimewamisin...
ZIFUATAZO NI ADHABU ZITOLEWAZO KWA UVUNJAJI WA SHERIA ZA CHAMA CHA WANYWAJI POMBE:-
1. Kosa la kumtoroka mlevi mwenzako kwenye Bat- Jela miezi tisa.
2. Kuacha kunywa pombe na fedha unazo...
{BINTI};Baba,"mimi nimempenda huyu mlinzi wetu hivyo nimeamua kutoroka naye ili tukaoane". {BABA};Kwenda zako huko,unafikiri nitasikitika,kwanza bora uondoke zako kwa sababu nimechoshwa na kashfa...
Nakupongeza kwa kufikia tena tarehe ya siku ulio zaliwa. Mungu akujalie maisha maleeeefu yenye furaha tele. Mungu wangu akubariki mpaka ushangae.Happy birthday william malecela. Mia
eti jamani wadau, ni ndoto gani ambayo hutaisahau? mi nakumbuka nikiwa form 2, niliota sista angu anapika nikaenda jikoni kumuangalia nikakuta kapika dagaa wazuri sana, walikuwa wa kukaangwa...
Jaji alihukumu wezi wawili wa matunda akasema kila mwizi wa matunda aingizwe kwenye TIGO tunda aliloiba.
Jamaa 1 alliba tango, akaingizwa lote huku akiwa anacheka mwanzo hadi mwisho.
Jaji...
Story hii ni joke ya ukweli. Mchaga walikuwa wakipiga story za mademu na msambaa. Ikaenda hivi: Msambaa: We mangi skiza, jana nlikuwa na demu angu si nkampiga denda mpaka akalegea afu...
Mdada wa kidhungu akikamua BONGO-FLAVA....
Anawaomba TANESCO wasikate umeme usiku sababu mpenzi wake atakuja jioni hivyo atashindwa sikiliza radio/muziki na mpenzi wake..
Kwa wale tunaofuatilia hii show, Jana mtanzania mwingine Iman Lisu aliyaaga mashindano. Tusubirie leo nini mtanzania pekee aliyebaki Damian Mihayo ataonesha,show itakuwa live citizen tv na star...
Kutokana na mmoja wa wabunge wetu kufumaniwa kule singapore (singida) na kutaka kugeuzwa mshikaki na mgoni wake na kucharangwa kidogo na sime,
tutarajie maneno gani kutoka katika bunge letu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.