JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Jamaa anamuuliza binti wa kimakonde, ati, kwa nini wamakonde hawawezi kusema Mtu na badala yake wanasema Ntu? Binti wa kichinga ( iiiiiiiiih siiyo woote. Unajua kusema ntu, inategemea ntu na nnntu!)
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naombeni dondoo za jinsi ya kuchukua tahadhari au hatua za kuchukua pale unapojikuta eneo ambalo risasi zinapigwa kwa karibu na ulipo mfano nyumbani au eneo la kazi Silengi eneo lenye vita...
0 Reactions
5 Replies
887 Views
Ndo nshazaliwa kama hunipendi na unene wangu katafute wembamba
0 Reactions
23 Replies
2K Views
habari ndugu, kuna stori nimesikia eti kwamba wasabato hawali nyama,na wanatengeneza nyama zao artificial za unga wa ngano,na flavour iko kama ya nyama,fibre kama nyama,almost kila kitu,je hiii ni...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Wakati huo nilikuwa natamani kuwa na G. Friend. Ishu ya kutongoza ilikuwa hivi: Dada mambo? (Poa). Siku hizi mnona hatuonani? (Nipo tu) Ndo unaenda nyumbani? (Hapana, naenda kumwona rafiki...
0 Reactions
58 Replies
7K Views
Queenkami mim sio mgeni hapa Jamii Forums maana nikiwa kama guest haikosi siku bila ya mim kufika hapa na kusoma mambo mbalimbali yanayojiri hapa. Leo imebidi nijiunge ili niweze kukueleza...
5 Reactions
229 Replies
12K Views
Hvi ni sah'h' mwanamke kujiuza kwa sh. 2000 bao moja eti chumba inclusive 4 those hu r intrstd 2ibukeni kama vipi
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Dah sijui wamepotelea wapi hawa watu? kuna mwenye taarifa zao?...
2 Reactions
54 Replies
3K Views
Wewe ni kijana mwenye kazi nzuri sana.Unaishi na Mkeo ambapo mungu amewajaalia kupata mtt mmoja wa kike.Siku za hivi karibuni mlitembelewa na jamaa mmoja ambaye mkeo alimtambulisha kwako kama kaka...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
dah nilikuwa nimesahau jamani,leo ni birthday ya mama yangu mpendwa namuombea kwa mungu amjalie kila lililo la kheri katika maisha haya i wish mama upone uwe kama zamani nakumbuka kipindi naenda...
8 Reactions
42 Replies
5K Views
Duh! Jamani hii hali ngumu hata pesa mfukoni haikai ada za shule! Nauli za wanaowahi mashuleni, wakunikopesha hakuna! Natamani hata kujinyonga! Aaaagh!
0 Reactions
5 Replies
902 Views
Wasichana/Wanawake huwa wanapenda kuitana dear, sweet, mpenzi na mengne mengi. Kwa nini wanaume hatuitani hivi!?
0 Reactions
62 Replies
5K Views
Hivi kwa nini ndugu zangu waislamu huwa wanachinja maiti kabla ya kuzika? Nimeuliza ninao wafahamu wakasema kuwa wanakata koo ili kama maiti alichukuliwa msukule wanamuua ili wakose wote yaani...
2 Reactions
33 Replies
5K Views
1. Bedball(mazoezi ya kitandani). 2. Football. 3. Handball. 4. Valleyball. 5. Basketball. Kwa upande wangu navutiwa na Football hasa ya nchi zilizoendelea. Karibu sana kueleza ni mchezo gani...
0 Reactions
43 Replies
4K Views
John alimwalika rafiki yake Fred nyumbani kwake kwa ajili ya dinner na vinywaji. Baada ya maakuli na wakati vinywaji vinaendelea, mkewe John (Lisa) na mgeni wao Fred walikuwa wanacheza karata...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
This Student Obtained 0%: What would u have given him ? Q1. In which battle did Napoleon die? * his last battle Q2. Where was the Declaration of Independence signed? * at the bottom of the page...
0 Reactions
5 Replies
950 Views
Kuna masai alikutana na binti mzuri sana wa sura na umbo uzalendo ukamshinda akawa anamuuliza msichana eti we umesaliwa na mutu au imetengeneswa tu na mutu ikawa inasema apa mbado, hapa mbado...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Je wanaJF, umewahi kukutana na watu wenye wivu mkubwa wa kitu ulichonacho?Watu hawa hutumia saikolojia ya kuponda hicho kitu chako ili ujisikie vibaya na kuchukia kumbe wanaonyesha mauwivu yao...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Atttention VEGETARIANS...!! Dear Plant Eaters....!!! Chicken never gave us oxygen.. Chicken never gave us shade .. Loss of chicken never caused Global Warming ... Thn y eat the good plants...
0 Reactions
4 Replies
852 Views
Mmasai alikuwa MC kwenye msiba alipopewa kipaza sauti akasalimia ' MSIBA HOYEEEE'.......MAITI SAFIIIIIIIII.....AMEPENDESA AU HAJAPENDESA..WENYE WIFU IFE KAMA HUYU LAIYONI
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom