JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
...to all JF stakeholders. May the year 2012 be a good one to all of us which means: 1. Kiama cha mafisadi 2. Mwamko kwa Watanzania wote katika kuupinga ufisadi na kila aina ya ukandamizaji 3...
1 Reactions
4 Replies
803 Views
Kama pets ni "wanyama" Basi habari ndo hiyo... World's Richest Pets
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Mwaka ndio unaishilia hivyo je tumefanya nini?au je tumetimiza malengo yetu ya kimaendeleo?mimi binafsi sina furaha sana kwani sijafikia lengo nililokusudia,nimefanikisha % ndogo sana na yote hii...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Tumesha anza kuwasubiri wana Jf,fanyani faster msosi unapoa.
0 Reactions
76 Replies
5K Views
enzi hizo radio tanzania, anko julius nyaisanga, sekioni kitojo, salimu mbonde, dominiki chilambo, ahmed jongo, juma ngondae, sarah dumba, abisai stivin, juma nkamia, bujaga izengo kadago...
1 Reactions
20 Replies
5K Views
Nilijiunga hapa mwezi wa kwanza mwaka 2011.Ndani ya mwaka mmoja nimejifunza mengi ya faida na hasara pia.Nimepata marafiki, nimehabarishwa habari nyingi ambazo pengine nisingeweza kuzipata kupitia...
3 Reactions
38 Replies
3K Views
Kama ingekuwa ni mpira wa miguu, basi tungesema CDM walikosa nafasi nyingi za kufunga kuliko CCM, kibaya zaidi nyingi zilikuwa penati lakini wapigaji wakapaisha mipira au wakampasia kipa badala ya...
0 Reactions
2 Replies
991 Views
Hakunaga bosi asiyekuwa na wafanyakazi wa kuwatuma je we unafahamu hakunaga nini?
0 Reactions
67 Replies
7K Views
Heri ya mwaka mpya jamani.Naomba kujuzwa hivi kwanini saa zetu hapa nchini ikiandikwa 7 tunasema saa 1,ikiandikwa 8 tunasoma hiyo ni saa 2.Naomba kujuzwa nini kinapelekea kuwa hivyo naamini humu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
MWAKA WA MAAJABU 2011. Chukua tarakimu mbili za mwisho za mwaka uliozaliwa,jumlisha na umri ulionao utapata jibu kuwa ni 111, unajua maana ya namba hz? kama jibu lisipokuja hlo unadanganya umri!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mwalimu:Jinsi gani ya kufanya maji yawe masafi? Mwanafunzi:unaenda kuyachukua mtoni halafu unayafua.
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakati mwaka 2011 unaishia ..inabidi kufanya resolution za mwaka 2012... Ningewashauri (hasa kina baba au kina baba watarajiwa)... Please tafuta muda na angalia movie... Courageous (2011) ...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
11 Reactions
79 Replies
4K Views
Wanajf,tunapokaribia kumaliza mwaka nina swali moja tu kwenu naomba mnieleweshe maana nimebishana na mtu kweli leo na hatukufika muafaka. Eti kati ya sherehe ya xmas na mwaka mpya ipi inaanza...
0 Reactions
37 Replies
3K Views
Habari za kwenu wana Chit chat, MMU na Wanasiasa, na hao wengine wachekeshaji, walalamikaji na wooooooooooooote wenye mapenzi mema na JF. Kusema ukweli tuna kila sababu ya kumshukuru Mungu kwa...
4 Reactions
10 Replies
1K Views
kulikuwa na wafanyakazi wawili kwenye ofisi moja,mwanamke na mwanaume,mazungumzo yao yalikuwa hivi... Mwanamke:ivi unajua me naweza kumfanya bosi anipe likizo hivi hivi. Mwanaume:aah wapi...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kama umeifungua hii thread utazaa mtoto mwenye sura kama huyu jamaa sijui ni Soldier?
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Hebu tuchukulie kwamba unadaiwa fedha na wanaokudai au anayekudai amechachamaa. Huenda amefikia hatua ya kutaka kukuadhiri sasa. Anataka kuja kwako kuchukua vifaa vyako au amepania kukupeleka...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Back
Top Bottom