JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Hebu niambie ungekuwa ni wewe ungefanyaje? Ni takribani mwaka sasa hali yako kiuchumi sio nzuri kifupi umefulia vibaya,siku moja anakutembelea rafiki yako mkubwa mlioshibana,usiku akiwa amelala...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Nipo kanisani,ni mda wa sadaka,kuna roho inaniambia nitoe sadaka, halafu kuna roho nyingine inaniambia nisitoe sadaka halafu niende kunywa nayo supu nijenge afya. dah sijui niheshimu roho ipi.
0 Reactions
27 Replies
2K Views
Hivi kwa nini hawa viongozi wasitumie helikopta kwa jiji la Dar es salaam kuepusha usumbufu wa foleni mfano kutoka airport hadi ikulu watumie halikopta badala ya barabara ili wananchi wengine...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Marafiki nimeamini ule msemo usemao mapenzi kidonda ukishiri unakonda
0 Reactions
44 Replies
4K Views
John katika kipindi cha likizo alikuwa akikutana na jane tuition, kama wanafunzi walivyo John akawa anasomesha mtoto lakini jane akawa anamzungusha. Siku ya siku Jane akamkubalia John lakini mambo...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Daah..! Amini usiamini hii imetokea jana katika kipindi cha XXL cloudz fm,watangazaji walikuwa wanaulizana "LIVE ON AIR" kwamba nani aliyejamba humo studio...kweli hii ni Redio ya kipekee
1 Reactions
25 Replies
4K Views
kama hatajuaoana kwanini unifuatilie kiasi hicho?kila saa huniamini mpaka mi mwenyewe najiona kama nalindwa. kwani huwezi kuniamini bila kunifuatilia?nikikuambia nakupenda kwanii usiniamini?hivi...
0 Reactions
63 Replies
4K Views
kuna watu wanaitana masharobalo bila kuzingatia kanuni na masharti. so leo nmeona niwafumbue macho ili jamii isiwaache nyuma. :mvulana ni sharobalo :msichana ni sharomalo je ushawahi...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Mimi nakumbuka simu yangu ya kwanza ilikuwa Nokia ndefuuu nye mbamba nayenyewe nilipewa na Boss wangu eti yeye akanunua Nokia Ringo mimi akaniachia mche wa sabuni ukubwa upana sawa ila ulefu...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Ulianza lini kupenda? Mi la tano nilimwandikia barua msichana nikamwambia ntampenda mpaka ziwa victoria likauke. Akanipeleka kwa ticha (akampa na hiyo barua). Kila mwalimu aliyekuwa anasoma hiyo...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
(KIJANA);Baba,nimepata mchumba hapo mtaa wa pili,anaitwa Sandra! (BABA);Ooops,samahani kijana wangu,ila usimwambie mama yako,sandra ni dada yako,si unajua mambo ya ujana mwanangu! (KIJANA);{siku...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
hahaha! hii kali kuliko :lol::lol::lol:
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Siku hizi mtori unachakachuliwa sana na hawa wapishi uchwara wa kwenye mabaa. Baa nyingine wanakuletea mtori wa mihogo, baa nyingine mtori wa magimbi, na sehemu nyingine mtori umechanganywa na...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
If your wife is pregnant,that's TENSION.>>>>>>>>>>>If your girlfriend is pregnant,that's TERROR.>>>>>>>>>>>>If both of them are pregnant,that's HORROR.>>>>>>>>>>>>If you are not responsible for...
0 Reactions
1 Replies
874 Views
Mbwa na Paka walikuwa wanapiga stori Mbwa>kwa nn nyie huwa mnajificha mkiwa mna "do"na dem wako? Paka>aagh...!huwa kila tuki'do' hawa binadamu wanatuiga style zetu,ndo maana tunajifichaga...
1 Reactions
44 Replies
4K Views
ningekuwa jogoo jman ingekuwa raha sana,madem wangenikoma ile mbaya,popote pale ninge wa do.kwenye daladala nikikaa na demu mzuri ningejisevia tu juu ya siti,Ningeamka asubuh na mapema nawahi...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
A woman's husband had been slipping in and out of a coma for several months, yet she had stayed by his bedside every single day. One day, when he came to, he motioned for her to come...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wandugu kesho jpili nawakaribisheni saa 8 kwenye soda za mdogo wangu.anatarajia kupata jiko .Karibuni sana
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Haja kubwa siyo mwiba, lakini ukiikanyaga kwanini wachechemea?
0 Reactions
50 Replies
5K Views
Am a female aged 26,am a Tanzanian.Am a poet by proffession.And i love excellent so so much,i want him to be my future husband.Please friends help me by telling him that
2 Reactions
241 Replies
13K Views
Back
Top Bottom