JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
MMMMMHHHHH SOMA CHINI JAMAA ANAJISIFIA ANA VICHWA 19 DUNIAN 12 CHINI YA MIAKA 18 AKIONDOKA LEO HUYU JAMANI SI SHIDA TUPU Wawakilishi wapinga na kutoa masharti mazito Waziri wa Nchi, Afisi ya...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wana MMU habari, Kwanza kabisa napenda kutoa laana zangu za dhati kwa yule member aliyesema MMU Ifungwe. Pili, ningependa tujadili swala la kulia msibani, Kuna watu wanalia kwa staha na...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
jamani eh,we kama ni aseno na yanga fanya chap chap tukutane hapa mfaranyaki tufurahi, tusherekee,tugalagale. Ps: mi niko na mama Kayai kwa hiyo Bebii usije.
0 Reactions
29 Replies
3K Views
kuanzia jana bendera zote za simba zimefichwa.mashabiki wao wote leo kimya.wakina crashwise siwaoni.kulikoni watani?mumefulia nini?matokeo ya jana mliyapokeaje?....hahahaaaa kweli simba kapakatwa.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Haya makabila yanapenda sana ndoa maishani! 1. Wachaga 2. Mnyakyusa 3. ........ 4. ........ Malizia.........mjini shule!
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Nakumbuka mbali kweli jinsi nilivyokuwa maana ilikuwa nikienda 2 kunyoa lazima kwa mbele nikate kdg"WAY..." kiatu mzee lazima kiwe ni mokasi halafu kinakijiua fulani.... Nikivaa jeans doooo ndo...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nilienda dukani kwa ajili ya kununua vitu mbalimbali vya dukani na kuona mashine ya kunyolea kama zile za Bic au gillete inaitwa Al Shabab ipo dukani. Ninajiuliza swali je zinatengenezwa na kundi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari zenu. Nina wiki ya tatu sasa kwenye huu mji wa watu, nimehamishiwa hapa kikazi mgeni na sina marafiki. Kwangu mimi marafiki wanathamani ya pekee katika maisha yangu.Nawakaribisha wote, wa...
4 Reactions
87 Replies
11K Views
ingekuaje kama mungu angekua anajibu baadhi ya watu namna hii loh!
2 Reactions
10 Replies
2K Views
C the attachement!
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Housewives remain at home idling around while their husbands work all day to earn there living! What is your opinion about them? A man was sick and tired of going to work every day while his wife...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
hatimae simba apakatwa na kunyolewa sharubu! Safi sana wanajangwani.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
TERRY;Where is the ball? CECH;I tell you for the fifth time,it is in our net!
0 Reactions
4 Replies
958 Views
niaje wazee wa chanel 5 (chelse5) mpoo!!
0 Reactions
1 Replies
813 Views
hahaaaaaaaaaaa crazy twin
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Najua kila mmoja ana role model wake ndani ya jf. Mimi binafsi role model wangu ni ritz. Je! Wewe role model wako ni nani?.
0 Reactions
81 Replies
8K Views
Je hii ni kweli? Na kama ndivyo,kwa vigezo gani?
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Mnaonaje Invisible na Mods wakileta PM za watu wote jamvini kama threads na waandike source ya PM imetoka kwa member gani?guess nini kitatokea....watu kupeana talaka?maadui kujuana?watu watabadili...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Nashindwa kuelewa toka juzi shilimgi ya tanzania imekuwa ikishuka kwa kasi ya ajabu lkn kifika leo mida ya sa 10 ikabadilika hadi kufikia sh 1600 Kwa dola 1 Wakati ilikuwa 1875 Asubuhi,jamani nani...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kama nilivyojieleza nina kitu kizuri sana nashindwa jinsi ya kukiweka hapa
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Back
Top Bottom