JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Padri amekaa katika chumba cha kuungamisha, kanisani hakuna mtu. Mara muumini mmoja akaingia, akapiga magoti upande wa pili wa meza na kufanya ishara ya msalaba akaanza kuungama. Akisema "Padri...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jamaa mmoja alikuwa anatembea pwani ya bahari ya Hindi..... huku anasali kimoyomoyo, akasema kwa sauti Mungu natamani unifanyie kitu kimoja.....ikasikika sauti kutoka mbinguni ikisema "Kwa kuwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
nahitaji elimu zaid abt jf sihitaji mashambuliz ave tried reading to know hw to start a tpoic ila ust.kayumba wangu unanisumbua. natanguliza shukran
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Chadema walikuwa wanapiga makelele sana kwa cuf kukubali kuchukua umakamu wa rais zenji,narudia UMAKAMU URAIS!! Wakawatukana sana cuf na kuwaita weak! Wao wameongwa unaibu meya tu,narudia UNAIBU...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Katika zoezi linaloendelea hivi sasa,la kupiga kura ya kupitisha Bajeti,Mh.Edward Lowasa ameitwa mtoro na wabunge wenzake baada ya jina lake kuitwa na kuwa kimya,kuna mbunge akaitikia mtoro.
0 Reactions
27 Replies
4K Views
i wish ianzishwe data base ambayomajina ya wanawake kwa wanaume walioshindikana kuishi na waume or wake zao yawekwe ili kama ukipata mwenza ambae mnataka kufunga pingu za maisha basi unakuja...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
wadau kesho siku ya ofisi, ktkt ya wiki j5.. Hebu punguzeni kuchati then tupumzike. Naitaji faraja toka kwa binti mmoja toka hapa jamvini, MMU! Hebu nichagulieni kifaa chakuendana nami (cheki avatar)!
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Kuna mchaga alienda kwenye mgahawa kupata msosi wa mchana alipoulizwa aletewe chakula gani? akasema minataka machalari(ndizi) kilipoletwa akaanza kufakamia haraka avikupita hata vijiko vitatu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
1)Jamaa mmoja alikwenda hospitali akiwa anaumwa baada ya kupimwa na dokta akaambiwa anaumwa kiharusi jamaa akapata nafuu ghafla na kumpa dokta mkono akamwambia "ndo maana ninahamu sana ya kufunga...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nigerian man called his mom from the USA . Man : Mom, I have AIDsoo. Mother: My son I beg, I beg I begoo, don't come back homeoo! Man : Why mom ? Mother: If you come back...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nataka tu kujua marital status ya mbunge wangu shupavu. Zitto Zuberi Kabwe. amani kwenyu. Nabii
0 Reactions
19 Replies
4K Views
NATAMANI NGUMI ZIPIGWE BUNGENI,KUNA WABUNGE W MAGAMBA WANAONGEA UPUPU NINGEKUWA MJENGONI KWA KWELI NINGESHAWASHA MOTO 2015 MTAoNA NITAKAPOKUWA MJENGONI NITAWAFUNDISHA ADABU WEZI NA WANYANGANYI...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Katika hali isiyo ya kawaida, washindi wa ubingwa wa futbol kwa watoto wa miaka 11, wameamua kukabidhi kombe kwa washindani wao ambao kwa kauli moja wamekubali kuwa washindani wao walistahiki...
0 Reactions
1 Replies
933 Views
Ivi kwanini watu huo wanahangaika kuandaa sherehe kuubwa ya kuziliwa afu hawasemi wametimiza miaka mingapi? Hofu yao ipo wapi? kama unaogopa kuonekana kikongwe, kwanini ufanye sherehe? Ivi kama...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Kitu gani kinawekwa mezani, kinakatwa, kinaliwa, kinarambwa/kinalambwa na kinakombwa lakini hakiingizwi mdomoni?
0 Reactions
12 Replies
7K Views
Jamani wana jamvi habari za asubuhi? natumaini hamjambo na mnaendeleza taifa ili tufikie miaka 100 ya uhuru tukiwa angalau mgao wa umeme umepungua ama kufikia siku 2 kwa week ama mwezi. Leo...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Mwalimu aliingia darasa la 3 na kuwataka wanafunzi wachore mti una ndege amekaa juu na akawapa muda wa dkk 10, zilipotimia dkk 10 mwl akapiga makofi kuashiria muda umekwisha, akazunguka kuangalia...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
HOME INTERNAL MEMO FROM: Father TO: ALL DEPENDANTS AND RELATIVES CC: MOTHER BCC: Girl friend SUBJECT: FINANCIAL MELTDOWN/COST CUTTING MEASURES FOR YOUR URGENT ATTENTION. 1. Due to...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Sijui kama hii imeshakuja hapa. Ikiwa tayari puuza. Mama Sara ana watoto wanne wanne wote wasichana: Mnana, Mnene, Mnini na ....... (Taja jina la msichana wa nne).
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom