JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Jogoo alimwambia kuku mke 'vipi wewe mayai yanachukuliwa na wewe umekaa kimya' kuku mke akajibu 'afadhali mie, wewe unaadhini alfajiri kila siku kisha hwendi kuswali'.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hakika wanajf,mimi niko arusha hapa,kinachoendelea hapa makundi ya watu ni mengi sana,kinachosubiriwa ni hiyo kesho patachimbika hapo mahakamani ndugu zangu, tumechoka na huu ukiritimba wa...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kijana mmoja aliipuliza akatoka na gari njiani akamgonga trafic, akatafuta kibanda cha simu akapiga 999 akawaambia: "WASHKAJI EEEH SASA MMEBAKIA 998"
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Jamaa akitalii mlimani, ghafla kadondoka, akashika tawi la mti,akaw ananing'inia. Kisha kapiga kelele kuomba msaada; JAMAA: Jamani kuna yeyote hapa anisaidie? MUNGU:Jiachie nitakudaka. JAMAA: Wewe...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
You can make a difference
0 Reactions
0 Replies
876 Views
Habari zetu kwa ujumla? Naomba mwongozo wenu wana jf ili niweze kuweka avatar yangu na mimi please
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu hodihodi. Nimeona ni vema nijisajiri ili tuijenge nchi yetu. Ngo ngo ngoooo, hodiiiiiiiiii
0 Reactions
1 Replies
919 Views
Niaje wakubwa hope mko safi basi tuungane sote ili tuweze kuambukizana maarifa ya kila aina couse Iam new in JF,have a great time members.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu wana JF mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu Mzumbe mkoani morogoro niko mwaka wa kwanza nachukua shahada ya production and operation management niliwahi kusoma seminari ya Mtakatifu Maria...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Kutokana na timu ya Barcelona kucheza mpira mzuri na wa kuvutia, inasemekana kutokana na kiwango cha mpira wao kuwa si wa dunia hii, shirikisho la soka duniani Fifa litaitafutia sayari nyingine...
6 Reactions
73 Replies
6K Views
Kocha wa timu ya Man u Sir Alex Furgason amesema kuwa timu yake itakata rufaa kutokana na Barcelona kuchezesha wachezaji zaidi ya 11 uwanjani,pia anasema kuwa amedhalilishwa sana timu ya Barcelona...
1 Reactions
30 Replies
3K Views
A wife asked her husband to describe her. He said, 'You're A, B, C, D, E, F, G, H, I, J, K'. She said, 'What does that mean?' He said , Adorable, Beautiful, Cute, Delightful, Elegant, Foxy...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Kila jamii ina tabia zake. Ukienda kwa maaskari wanakuwa na tabia yao ya ujumla ambayo huitwa haiba. Ukienda kwa waalimu hali kadhalika wana haiba au tabia yao. Ukienda kwa wanafunzi ni hivyo...
0 Reactions
106 Replies
11K Views
From Yahoo friends CATHOLIC COFFEE MORNING IN ROME Four Catholic men and a Catholic woman were having coffee in St. Peter's Square. The first Catholic man tells his friends, "My son is a...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani kwani ni lazima mtu ukifanya harusi utoe kadi za michango kwanini mtu usifanye harusi unayomudu badala ya kusumbua watu na mikadi ya michango! tena kibaya zaidi eti mtu anakuwekea kiwango...
2 Reactions
13 Replies
3K Views
MFANYAKAZI WA NDANI ALISHINDWA KUJIZUIA BAADA YA KUMKUTA MAMA WA KIHINDI AKIJINYOA LAKINI MAHALI PAWAZI.BASI JUMA ALIPOKUWA ANAMSOGELEA ILI AJISHUHUDIE VITUZI KWA KARIBU MAMA AKAJUA ANATAKA...
0 Reactions
5 Replies
10K Views
JF MEMBERS....I WANNA TELL U S'THING....... WE NEVER HAVE WHAT WE LIKE,WE NEVER LIKE WHAT WE HAVE,STILL WE LIVE,LOVE AND HOPE THAT SOME DAY WE WILL GET WHAT WE LOVE OR LOVE WHAT WE HAVE,THAT...
0 Reactions
0 Replies
955 Views
Katika pita pita zangu nikadondokea hapa Zanzibarwebsite Kuna Story moja nimeipenda sana Naomba Kushea na Nyie(Nahisi hii ni forum Yao) Mada: JEEE HILI HALITALETA MATATIZOO...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
JAMAA MMOJA ALIINGIA JIJINI ANATOKA MKOA BASI BAADA YA KUHISI JOTO KALI AKAJITOSA KWA NYUMBA ILIYOKUWA JIRANI MAMBO YAKAENDELEA HIVI:NINA KIU NAOMBA MAJI YA KUNYWA= MWENYUMBA AKAMJIBU YAANI MAJI...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Bacteria wanne(4) waliwekwa ndani ya kopo.kila baada ya dakika 1,kila bacteria hujigawa vipande viwili.Baada ya dakika 10,kopo lilijaa bacteria.Kopo lingine liliwekwa bacteria 8 kama kianzio.kopo...
0 Reactions
3 Replies
923 Views
Back
Top Bottom